Hizi ndo nyimbo bora kabisa za wakati wote katika makundi mbalimbali:
Bongo Fleva: MB Dog, Si uliniambia
au remix yake akishirikisha Yakuza Mobb
Muziki wa dansi:
Hapa ni kazi kwelikweli, ila kutoka kwa Wakongo wa Dar es Salaam Diamond Musica, Mapenzi
Na kutoka kwa Watanzania ni Banza Stone akiwa TOT Plus Band, Elimu ya Mjinga
Rusha Roho: Mzee Yusuf (Jahazi Modern Taarab), Alamba alamba tena
Taarabu (Orijino) Issa Matona, Kimasomaso
Singeli Meja Kunta, Madanga ya Mke Wangu
Yaani huu wimbo ndo unakupa ladha ya maisha ya uswahilini kabisa kule kwa Mpalange, kwa Alimboa, Kigogo, n.k., ambako muzikli wa Singeli ndo ulikotokea.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.