Tangu tupate Uhuru ni mara ya kwanza sherehe za Muungano kuhudhuriwa na Marais wote kutoka upande wa Zanzibar

Ikiwa unaamini mzee Mwinyi si Mzanzibar halisi basi Hussein pia si Mzanzibar halisi.

Je msingi wa hoja yako ni upi?
Aliyekupiga fix kwamba Mwinyi Ali Hassan ni Mzanzibar kakudanganya , waonyeshe walipo wazazi wake na ndugu zake .

Hussein kule ni kwa mama yake tu
 
Labda kichwa chako ni kina makapi.

Kwa kusema hivyo ina maana yuko unayemsujudu
Unajua Somalia Haina serikali na wanaishi maisha Mazuri na hawana umaskini wa kupitiliza? Hakuna Rais Mwenye ngozi Neyeusi tii kama kiwi anayewaza maendeleo ya watu zaidi ya maisha yake na Familia yake.
Wanakula TU mpaka wanavimbiwa huku wananchi wakiwa wanalala njaa.

Wenzetu uongozi sio fursa ya kujitajirisha Bali ni kujitoa kupigania Taifa . Huku watu wanauana na kulogana Kwa sababu wanatafuta riziki kwenye uongozi na utawala

Huku watu wamaojii wazalendo ndio wezi na wavunja Sheria.
 
Ally Hassan Mwinyi alizaliwa Mkuranga Kivure Mkoa wa Pwani wazazi wake walihamia Unguja alipokuwa mdogo. Hussein ni mzanzibari alizaliwa Zanzibar Unguja trh 23/12/1966.
Hapa Kuna mkanganyiko!

Umesema wazazi wake walihamia Zanzibar alipokuwa mdogo,
je alizaliwa wapi?
Tanganyika au Zanzibar?

Umesema Ally Hassan Mwinyi alizaliwa Kivure haina shida.
Je wazazi wake walitokea wapi?

Unakifahamu Kijiji Cha Mbezi baada ya kuvuka Mlima kurungu? Na baadae kuvuka mto Mbezi?

Unalifahamu eneo hilo na hadithi yake?

Kalaghabao wanaoliwa mchana kweupe.
 
Sherehe za Muungano wa Tanganyika na Zanzibar hufanyika kila mwaka. Ni kawaida rais wa JMT na rais wa Zanzibar kuhudhuria. Mwaka huu kwa mara ya kwanza viongozi Wakuu wote ni kutoka upande wa Zanzibar yaani wote (top two) ni Wazanzibari. Muungano halisi uko wapi hapo.

Anyways, hakuna ubaya ni kuweka vizuri historia kwa vizazi vijavyo.

View attachment 2196015
Tnaomba marejesho..... Maana wengine tu nasikia kuwa Maza bado anakula Bata majuu na Mwinyi kaikacha.....!!
 
Back
Top Bottom