Tangu tupate Uhuru mwaka 1961 hatujawahi kuwa na madarasa ya Shule za Serikali ya aina hii

View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,

Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,

Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,
Kaziindelee Tanzania na Samia
 
Wanafunzi wenyewe bangi tupu siku hizi, na wale wakike kwa umalaya ndio usiseme hapa kitaa sahv kuna kitoto cha form 3 kanalazimisha kuja geto eti anasema anataka kuja kunipikia
😀😀😀


Utafungwa tukusahau jaribu utaona cha moto,
 
View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,

Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,

Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,
Kaziiendelee
 
View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,

Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,

Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,
Jenista Jembe sana alo!!
 
View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,

Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,

Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,
Naunga mkono hoja
P
 
Unasifu madarasa ya mkopo? Unajua Serikali imetoa nini kupata huo mkopo? Unadangayika kirahisi sana wewe, Serikali imegawa cobalt ( moja kati ya rasilimali aghali na zinazotafutwa sana leo hii kutengeneza electric cars, cell phones, computer chips Serikali imegawia Mzungu karibia bure), Gold, Gas ili ujengewe cheap madarasa halafu unasifu?

Hayo madarasa hata kwa kodi ya kunywa bia tu tunayokatwa inatosha kujenga na zaidi, …

Ona aibu, mkopo ni wa Umoja wa Mataifa, Je ni nchi gani hiyo? Mkopo umetolewa kwa nchi zote kupambana na Corona. Kwetu tukaamua kujengea madarasa ili wanafunzi wasibanane na kuambukizana Covid.
Kama tumeuza rasilimali kwanini deni la taifa liongezeke si tushawapa cobalt unayoisema?
Acheni uzushi watu wanaakili
 
"Tangu tupate Uhuru 09|12|1961 hatujawahi kuwa na madarasa ya Shule za Serikali ya aina hii"...

Utakuwa umesoma maporini si bure...

Kuna shule nzuri za msingi hayo madarasa yanayoonekana kwenye video hayajafikia uzuri wake...tuache kusifia kulikopitiliza

Taja shule uliyosoma tuone hayo madarasa
 
acheni kujaza ujinga mbona hayo ni majengo ya kawaida Sana, nenda pale Mpwapwa kuna majengo yamejegwa toka mwaka 1922 na mpaka leo yapo na Yana facilities zote hebu punguzeni uchawa mnasifia Sana mpaka bosi wenu anashangaa

Tangu tupate uhuru soma vizuri...
 
Kusema kulikuwa hakuna Shule kama hizo sio kweli zilikuwepo tena na madirisha ya kufunga kabisa kabisa,wanafunzi wakiondoka huwezi ona ndani.
 
Shule SHIKIZI ndio shule gani hizo? mwenye ufahamu anijuze na hilo neno limezaliwa lini ?
 
huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,


Pumbavu, kwa pesa zetu yeye ndio mwenye upendo??!!, eti mtu umemuajiri atumie pesa yako kukununulia mahitaji yako halafu useme mtu huyo anao upendo??!!😏
 
Ficha ujinga wako...nani alikwambia hio ruzuku?na nani alikwambia haina marejesho wala riba?

I real miss the old JF, ilipokua na watu wanaojielewa, sio now days imejaa vichwa maji wasio na weledi..

Mama mwenyewe kaitisha Mkutano na ma camera akasema huu ni mkopo ila kuna Nyumbu wanasema ni ruzuku, tangu lini Bank zikatoa ruzuku? Hivi hua mnapata faida gani kusema uongo wa waziwazi?
Clip za mama zimejaa tele youtube akisema huo ni mkopo wa mashatri nafuu ila bado watu mnakomaa ni ruzuku...pathetic
Na akaongeza huu ni mkopo nafuu haujawahi kutokea toka uhuru.
 
View attachment 2059200
==
Baada ya kutazama kipande hiki kifupi cha Video hii wale waliosoma Shule za Msingi na Sekondari za Tanzania wanaweza kukubaliana na Mimi kuwa Rais Samia Suluhu Hassan amekuja na aina mpya kabisa ya Utawala na anafanya vitu kitofauti sana,

Mtakumbuka Rais Samia Suluhu Hassan ametoa Jumla ya madarasa ya aina hii elfu 18 yaani elfu 15 ya Sekondari na elfu 3 ya Shule za Msingi Shikizi,

Tunaamini, Madarasa haya yataongeza hadhi ya wanafunzi na walimu lakini pia yataamsha ari na nguvu ya Wanafunzi kupenda Shule na madarasa yao, Hakika hakuna kama Rais Samia Suluhu Hassan na huenda ikatuchukua miaka mingi kumpata mwingine mwenye upendo kama wake,

Hukuwakumbuka ndugu mfadhili wala wahanga wake wasiojulikana hata idadi yao:


IMG_20220110_061311_226.jpg


Pumzika kwa amani shujaa jiwe.

Hii pesa ingeweza kuokoa maisha yako na wapendwa wetu wengi.
 
Ishiiiiii hakuna jipya niliko somea chekechea miaka zaidi ya 20 ilopita tena kijijini kabisa shule ilikuwa na madaqsa kama hayo na wote tulikuwa tukikaa kwenye madawati.

Marafiki zangu wa dar wamesomea kwenye magorofa miaka hiyo unakuja kutudanganya nini?
Hatuna shida na jitihada zake apige kazi itaonekana ila kwa sasa bado sana embu tuone ndani ya miaka 5 nini kitatokea.maana miaka 5 ya jpm vitu vilivyofanyiaka havikuwahi tokea tangu uhuru.

Bado nafasi ipo yetu macho.

Tunataka arudishe nidham kazini
Tunataka umeme vijiji
Tunataka adeal na majambazi na wezi tuone
Tunataka kuona miradi mikubwa iloachwa ikiisha.
Tozo za ajabu kuwatesa wananchi wakati nchi ina vyanzo vya pesa hatuzitaki.
 
Back
Top Bottom