Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,086
- 6,568
Hili ni tatizo kubwa sana ambalo limeligharimu taifa letu ndio maana mpaka sasa tuna umaskini mkubwa sana. Maana nchi yetu haina wachumi wazuri wanaoweza kushauri vipaumbele vinavyoweza kubadili maisha ya Watanzania.
Mfano awamu ya kwanza ya Mwl Julius Kambarage Nyerere ilijikita zaidi kwenye kupigana vita visivyo na msaada kwa raia wa kawaida. Tulitumia pesa nyingi kupigana vita Msumbiji, Uganda na hata Zimbabwe. Lakini sisi tukabaki masikini wa kutupwa hata barabara zikiwa vumbi tu.
Awamu hii ya tano imejikita kununua ndege ambazo hazina tija hata kidogo. Wananchi wana shida ya maji, madarasa na dawa za matibabu.
Hii yote ni sababu taifa halina watu wanaojua kupanga vipaumbele muhimu ili kutatua kero za wananchi. Tunaumia kila awamu ya CCM.
Mfano awamu ya kwanza ya Mwl Julius Kambarage Nyerere ilijikita zaidi kwenye kupigana vita visivyo na msaada kwa raia wa kawaida. Tulitumia pesa nyingi kupigana vita Msumbiji, Uganda na hata Zimbabwe. Lakini sisi tukabaki masikini wa kutupwa hata barabara zikiwa vumbi tu.
Awamu hii ya tano imejikita kununua ndege ambazo hazina tija hata kidogo. Wananchi wana shida ya maji, madarasa na dawa za matibabu.
Hii yote ni sababu taifa halina watu wanaojua kupanga vipaumbele muhimu ili kutatua kero za wananchi. Tunaumia kila awamu ya CCM.