Itakumbukwa katika awamu ya serkali ya tano kila kitu kilifanyika kwa minajili ya kubana matumizi ya Serikali.
Awamu ya sita chini ya Samia Suluhu imekuwa ya kitofauti kabisa na awamu ya tano hususani katika suala la matumizi ya Rais.
Mheshimiwa Rais Samia tangu kuapishwa kwakwe amepiga route kadhaa ndani na nje ya nchi huku usafiri unaotumika muda wote ukiwa ndege pekee.
Hivi gharama zake hapa ziko vipi ukilinganisha na ule usafiri wa barabara ambao ni rahisi kubana matumizi?
Awamu ya sita chini ya Samia Suluhu imekuwa ya kitofauti kabisa na awamu ya tano hususani katika suala la matumizi ya Rais.
Mheshimiwa Rais Samia tangu kuapishwa kwakwe amepiga route kadhaa ndani na nje ya nchi huku usafiri unaotumika muda wote ukiwa ndege pekee.
Hivi gharama zake hapa ziko vipi ukilinganisha na ule usafiri wa barabara ambao ni rahisi kubana matumizi?