kabanga
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 37,204
- 18,473
ongea nae, usijefanya kitu kibaya...Kiubinadamu ngumu kumwambia. Lkn kiukweli simpendi kabisa mke wangu
ongea nae, usijefanya kitu kibaya...Kiubinadamu ngumu kumwambia. Lkn kiukweli simpendi kabisa mke wangu
Sexless: Nifanyeje nihongwe magari na majumba? - JamiiForumsProf. Kapuya ana umri wa miaka 76 lkn ameoa mke mwenye miaka 25, mimi nina miaka 39 mke wangu ana miaka 33.
Kitendo cha mimi kuwa na mke mzee kiasi hiki ambaye kiumri anaweza kuwa sawa na mama wa mke wa prof. Kapuya, kinanifanya nijione sina bahati na nina laana .
Kwa umri wangu prof Kapuya ni sawa na babu yangu, sasa kwanini nioe mama wa mkewe?
Kila nikimuangalia mke wangu, siipati tena furaha moyoni na akilini mwangu. Taswira inayojengeka ni uhenga uliokithiri wa huyu mwanamke dhidi ya yule wa prof.
Hali hii ikizidi nifanyeje wadau?
Mvumilie,ikishindikana exit, tafauta njia ya rahisi ya ku-exit yenye madhara reduced!Kiubinadamu ngumu kumwambia. Lkn kiukweli simpendi kabisa mke wangu
Muombe mbadilishane...Prof. Kapuya ana umri wa miaka 76 lkn ameoa mke mwenye miaka 25, mimi nina miaka 39 mke wangu ana miaka 33.
Kitendo cha mimi kuwa na mke mzee kiasi hiki ambaye kiumri anaweza kuwa sawa na mama wa mke wa prof. Kapuya, kinanifanya nijione sina bahati na nina laana .
Kwa umri wangu prof Kapuya ni sawa na babu yangu, sasa kwanini nioe mama wa mkewe?
Kila nikimuangalia mke wangu, siipati tena furaha moyoni na akilini mwangu. Taswira inayojengeka ni uhenga uliokithiri wa huyu mwanamke dhidi ya yule wa prof.
Hali hii ikizidi nifanyeje wadau?
Safi sana bonge la pointMwendawazimu wee...
Ishi maisha yako, usitamani kuishi maisha ya mwenzako, wewe huwezi kuwa yeye na hata yeye hawezi kuwa wewe, hujui changamoto atakazopitia huyo kapuya, usikute house boi atakiwa anajipigia mkewe, usikute wamekubaliana amnunulie madildo, humjui mkewe kiuhalisia ndani, na hata kama hayo hayatatokea wakaishi kwa amani na furaha ndio maisha yao usifosi mkuu, utakufa bure
Sent using my nokia ya tochi