Omulasil
JF-Expert Member
- May 5, 2015
- 7,424
- 9,358
Mi sikuelewi mi nilidhani utakuwa na furaha kuwa sas ukosawa na babamkwe wa professor. Wewe u achukia? Basi mpe mkeo chiD
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu mm nina 26 demu wangu ana 23 unamaanisha nimuandae kisaikolojiaKati ya vitu ambavyo babu yangu aliniasa nilipoanza maisha tu. Aliniambia mkeo lazima muwe mnatofautiana miaka kumi yaani nimzidi kuanzia miaka kumi na kuendelea, lakini ukioa mnalingana kiumri huko mbeleni kuna hatari utamtesa mtoto was watu maana mwanamke azeeka upesi kwa hiyo mke mnaolingana kwa umri baada ya muda utamuona mzee utaanza kutafuta ving'asti kitu ambacho utampa maumivu mkeo akikugundua. Nikatekeleza ushauri wake mke wangu wa kwanza tofauti miaka kumi na huyu niliyenae maana wa kwanza tulishindwana tukaachana tofauti yetu in miaka 26.Nina miaka 57 utapiga hesabu mwenyewe
Umetisha sana mzee babatofauti yetu in miaka 26.Nina miaka 57 utapiga hesabu mwenyewe
BAshaija BOJU.Kweli hiyo ni laana .kuoa mke mzee au mnao lingana umri ni mkosi mkubwa
Sent using Jamii Forums mobile app
Mke wangu ni mtuivu sana. Tatizo ni huo u-ajuza wake ukilinganisha na mke wa babu yangu (le professor).Kama mkeo mtulivu huwez kuwaza ivo ,Hivi huyo binti hana babu zake?
Daaa Jf inanipa sana raha kwakwelSasa kamwangalie na mke wa Ben Kinyaiya ili furaha yako irejee!
Yule binti ndo huyo mke mpya sema watu hawajui kinachoendelea.
uyo binti anatafta mtaji tu,ackuwazishe kabsa,Mke wangu ni mtuivu sana. Tatizo ni huo u-ajuza wake ukilinganisha na mke wa babu yangu (le professor).
Yule mzee kabaka mabinti wengi sana na huyo ni mmojawapo.Yule binti alikuwa choka ile mbaya na ni mweusi kama yeye mwenyewe Kapuya....huyu Mze anachezea sana watoto wa watu. Anastahili kufungwa kabisa au kunyongwa.
FUNGA NDOA TU INGINE NDIO UNCHOWEZA KUKIFANYA, MABINTI WA MIAKA 25 WAKO WENGI, HESABU RAHISI CHUKUA UMRI WA KAPUYA TOA UMRI WA MKE WAKE NA KISHA ANGALIA TOFAUTI KISHA CHUKUA UMRI WAKO TOA WA MWANAMKE UNAYETAKA KUWA NAYE ILA ULINGANE NA ULE WA KAPUYA, BAADA YA HAPO MTAFUTE OA, UKIFIKA MIAKA 76 UTAKUWA NA MKE WA MIAKA 25. NADHANI HUWEZI TENA MCHUKIA MKEO KILA UKIANGALIA CLIP ZA KAPUYA NA HUYO MKEO WA MAKA 25.Prof. Kapuya ana umri wa miaka 76 lkn ameoa mke mwenye miaka 25, mimi nina miaka 39 mke wangu ana miaka 33.
Kitendo cha mimi kuwa na mke mzee kiasi hiki ambaye kiumri anaweza kuwa sawa na mama wa mke wa prof. Kapuya, kinanifanya nijione sina bahati na nina laana .
Kwa umri wangu prof Kapuya ni sawa na babu yangu, sasa kwanini nioe mama wa mkewe?
Kila nikimuangalia mke wangu, siipati tena furaha moyoni na akilini mwangu. Taswira inayojengeka ni uhenga uliokithiri wa huyu mwanamke dhidi ya yule wa prof.
Hali hii ikizidi nifanyeje wadau?
Siku shauri umuache kila mtu ana maamuzi yake lakini baada ya miaka kumi na kuendelea utakiona hiki ninachokisemaMkuu mm nina 26 demu wangu ana 23 unamaanisha nimuandae kisaikolojia
Sent using Jamii Forums mobile app
Umetisha sana mzee baba[/QUO
Prof. Kapuya ana umri wa miaka 76 lkn ameoa mke mwenye miaka 25, mimi nina miaka 39 mke wangu ana miaka 33.
Kitendo cha mimi kuwa na mke mzee kiasi hiki ambaye kiumri anaweza kuwa sawa na mama wa mke wa prof. Kapuya, kinanifanya nijione sina bahati na nina laana .
Kwa umri wangu prof Kapuya ni sawa na babu yangu, sasa kwanini nioe mama wa mkewe?
Kila nikimuangalia mke wangu, siipati tena furaha moyoni na akilini mwangu. Taswira inayojengeka ni uhenga uliokithiri wa huyu mwanamke dhidi ya yule wa prof.
Hali hii ikizidi nifanyeje wadau?