Tangu mgomo wa madaktari Kikwete ameligawa taifa

Huyu jamaa angekuwa mwanamke basi angekuwa muda wote anapi........ p.....u maana hajui wajibu wake. Ila watanzania tumezidi ujinga, maana siyo upole. Tuamke watanzania siyo yusubiri chadema au wengine waoneshe hasira zetu. Tumkatae huyu mbwa kibaraka anayekimbia matatizo ya nyumbani kwake, watu wanauwawa yeye anaenda kustarehe jamani hii ni haki, kwa wenzake anakuwa wa kwanza kutoa pole kwake anakimbia watanzania tujilaumu sisi wenyewe.... ahsanteni

Ahsante ila nimecheka saaaaaaana!
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom