Tangu mfumo wa vyama vingi uanze kila awamu mpya ya serikali ikiingia inaioponda ile iliyotangulia, CCM iliondoka na Nyerere!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,599
141,415
Kiukweli kwa sasa tumebakia na jina la CCM ila itikadi na misingi yake ilishapitwa na wakati ndio maana Nyerere aling'atuka.

Kikwete alijaribu kuiunda upya CCM kwa kuivua gamba lakini ilishindikana kwa sababu chama chenye gamba ni kizee zee ukikivua ndio unakiuwa kabisa.

Labda hiyo Umoja Party ndio kitakuwa mbadala lakini tukumbuke hata CCM ya Magufuli ilifeli.

Maendeleo hayana vyama!
 
Ndio ngazi pekee wanayoitumia kupanda juu..... We miss consistency....
Maendeleo yanakuwa ni ya taratibu sana.
Ni tabia moja mbaya sana.
We miss focus....
Tumezoea majungu na kufanya ndio sehemu ya maisha yetu.... Sijui ndio siasa safi wanayo isema....
 
Kwa taarifa yako nyerere hakutaka ccm lkn pia ilivyoanzisshwa hakutaka ipotee, ushawai ona sehemu mwalimu amevaa nguo ya ccm , yaani toka ccm ilipoanzishwa na mpaka mwalimu anafariki hakuwa kuvaa nguo ya ccm je unajua kwnn?
 
Back
Top Bottom