Tangu makutano ya Ubungo yamewekwa hii Round About, foleni imepungua kiasi

Mimi in mkazi wa zamani wa ubungo.
Bila picha ya ndrone suwezi waelewa.
 
Hata mimi ninadhangaa na kuona aibu kupishana na wale Wachina pale Ubungo.

Kumbe tumepoteza muda na pesa nyingi kuweka mataa pale???

Foleni imepungua kwa asilimia 91.


Pia imenikumbusha rout about za Dodoma na Moshi zinavyofanya kazi.

Kweli sasa Mwenge, Tazara, Buguruni, Ilala, Magomeni, Morocco, External, Taifa n.k sasa pawekwe round about
Tanroad wao wanajua kutafuta makosa na kutoza watu fain tu mizani ukiwa nashida hata iwe kidogo kiasi gani utasiki dola 2000, kwasisi watu wa usafirishaji bora ukutane na simba waweza mpigia kelele akakimbia kuliko hao Tanroad, kujifunza kwao ni mwiko viburi sana hao jamaa, usiombe hapo Dar ukutane na wale wa haice utajuta na pesa yote ya faini hawaitumii kuboresha miundo ya bara bara foleni zipunguwe mpaka wahisani waje huo uingini wao niwa kuvaa suti tu nakupiga watu fain.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Taasisi pendwa hiyo ya waziri wa ujenzi wa awamu zote. Wacha walale tu.
Kwa wanaopita Ubungo pale mataa wameanza kuona raha ya kuondokana na foleni baada ya kujengwa mzunguko mkubwa ule!

Swali langu kwa TANROADS, Je mnataka mpaka Rais ndo aje aseme mjiongeze kujenga na MWENGE, MAGOMENI, na BUGURUNI?

Maeneo haya yana mateso makubwa kwa foleni
kwanini pasibadilishwe zikawekwa roundabout kubwa kubwa ili kuondoa adha hii?

Ndo maana kila siku wachina wanapewa kazi kwa ujinga wetu wa kukosa weledi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila ingekuwa bora hata akaelezea nini kinaendelea hapo, hata sisi wa mkoani tukajua. Maana huwezi jua kesho itakukutia wapi. Na maamuzi sahihi yanatokana na taarifa sahihi.
Sent from my iPhone using JamiiForums
Mkuu salaam
Kwa karibu Miezi sita sasa kuna ujenzi unaoendelea hapo Ubungo, ujenzi wa exchange lanes kwenye makutano ya Ubungo wenye lengo la kupunguza foleni.
Kwa kweli ujenzi huu ulisababisha kero sana kwa watumiaji wa makutano hayo. Natumai wewe ni Mtanzania na unafuatilia habari utakuwa unajua kuwa kuna ujenzi mkubwa unafanyika pale.
 
Mkuu salaam
Kwa karibu Miezi sita sasa kuna ujenzi unaoendelea hapo Ubungo, ujenzi wa exchange lanes kwenye makutano ya Ubungo wenye lengo la kupunguza foleni.
Kwa kweli ujenzi huu ulisababisha kero sana kwa watumiaji wa makutano hayo. Natumai wewe na Mtanzania na unafuatilia habari utakuwa unajua kuwa kuna ujenzi mkubwa unafanyika pale.

Asante kwa maelezo mazuri, nini kimesababisha kupungua kwa foleni sasa hivi


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Last week ijumaa nilipita pale mida ya peak nikaona nateleza tu kitu ambacho si kawaida, hiyo round about imepunguza kabisa tatizo la foleni ubungo

Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana imepunguza foleni kwa kiasi fulani...lakini tukumbuke wenye magari wengi wanakwepa kupita Ubungo kwa kuogopa foleni.

Hofu yangu foleni itarudi baada ya watu kusoma Uzi huu!!!
 
Inawezekana imepunguza foleni kwa kiasi fulani...lakini tukumbuke wenye magari wengi wanakwepa kupita Ubungo kwa kuogopa foleni.

Hofu yangu foleni itarudi baada ya watu kusoma Uzi huu!!!

mpe mchina credit yake ya kupunguza foleni ubungo kwa idea ya fake round about

ubungo ni sehemu ambayo malori yote lazima yapite... sasa yakihama ubungo kukwepa foleni yatapita njia gani ? kusema magari yapungue ubungo ni uongo
 
Tatizo la wabongo ni kuishi kwa mihemuko na shortcut bila kufikiria mbeleni, ninaamini kabla ya kuwekwa taa analysis ilifanyika na kuonekana kuna huo uhitaji leo round about ya dharura imejengwa foleni imepotea kidogo basi imeshaonekena ni suluhisho la kudumu bila kufanyika analysis yoyoye. Labda wahusika waanze kupembua sasa na kuona kama kwa hali ya sasa waache ibaki round about bila taa wala daraja la juu!!!!
 
Hiyo roundabout sasa iitwe 'goofball circle' kwa jinsi ilivyo biashara ya kuuza ng'ombe kwa kesi ya chikeni!
 
Maeneo sugu dar ni mwenge mataa ya chang'ombe morocco kama nimesahau pengine ongezeeni wadau ila mwenge panahitaji ufumbuzi wa fasta sana
Kwa wanaopita Ubungo pale mataa wameanza kuona raha ya kuondokana na foleni baada ya kujengwa mzunguko mkubwa ule!

Swali langu kwa TANROADS, Je mnataka mpaka Rais ndo aje aseme mjiongeze kujenga na MWENGE, MAGOMENI, na BUGURUNI?

Maeneo haya yana mateso makubwa kwa foleni
kwanini pasibadilishwe zikawekwa roundabout kubwa kubwa ili kuondoa adha hii?

Ndo maana kila siku wachina wanapewa kazi kwa ujinga wetu wa kukosa weledi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwa wanaopita Ubungo pale mataa wameanza kuona raha ya kuondokana na foleni baada ya kujengwa mzunguko mkubwa ule!

Swali langu kwa TANROADS, Je mnataka mpaka Rais ndo aje aseme mjiongeze kujenga na MWENGE, MAGOMENI, na BUGURUNI?

Maeneo haya yana mateso makubwa kwa foleni
kwanini pasibadilishwe zikawekwa roundabout kubwa kubwa ili kuondoa adha hii?

Ndo maana kila siku wachina wanapewa kazi kwa ujinga wetu wa kukosa weledi
KUMBE HIZO FLYOVER HAZIKUWA MUHIMU KAMA ROUNDABOUTS ZINGEKUWEPO. KWELI HATUNA WAHANDISI, TUNA VYETI TU LAKINI UBUNIFU ZERO
 
Mi kila siku napita hapo naona wanaojenga na kuopareti mitambo ya ujenzi ni wabongo tu, wachina muda wote wamepaki pembeni na kuvuta sigara tu, sasa Tanroads wameshindwa nn.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom