Tangu Lissu aanze kuongea na vyombo vya Magharibi, ni faida gani kubwa ameipata?

kipara kipya

JF-Expert Member
May 2, 2016
13,874
15,605
Lissu ni mtu mwenye kupenda airtime asipotee masikioni mwa watu Lissu anapenda kujisikia yeye ni mjuzi kuliko mtu yeyote anapenda kujiona ni msomi wa kiwango cha juu wafuasi wake wanamuona kama nabii,
Lissu alipokuwa nairobi aliongea na vyombo vya habari vya mabeberu akazungumzia mazonge yake mengi,

Wafuasi wake ikawa ndio wamepata pa kusemea,
Alipofika ubelgiji akapata nafasi nyingine ya kuongea tena
Na pia hivi sasa amekuja na taarifa yake nyingine kuwa mbeleni katika ratiba zake ataongea na vyombo vya habari

Swali je kuna faida yeyote aipatayo au ni kujionyesha alivyo dhaifu ,mbinafsi na mpenda kujikweza
Je amekisaidia nini chama na hiyo mikutano yake
Je imemsaidia kupata pesa zake za matibabu
Je imemsaidia kuiangusha serikali
Je kimezuia CCM kukosa kura

Sasa amepona ni wakati mzuri wa kuja kueleza kwanini hawakuingia kituo cha polisi wakati walihisi wanafuatiliwa wakakimbilia nyumbani!
 
Subiri kwanza wafanyakazi tuandamane kumpongeza Rais kwa kutoa kikokotoo japo alikisaini mwenyewe na bado amekitoa kwa mda tu til 2023 na wengi wetu tunastaafu mbele ya hapo,
miaka mitatu bila kupanda daraja, bila nyongeza ya mishahara ila wacha tuandamane tu
nikitoka kuandamana nitarudi
 
Wewe unamsema mtu kwa kupitia jina la Lissu, anayetaka air time kila iitwapo leo anajulikana, ukibanwa na wasiojulikana inasingizia account yako imedukuliwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
Cha ajabu ni kama vile CCM wanalazimishwa kufuatilia mambo ya Lissu, utadhani Lissu amezuia wakulima wa Korosho wasilipwe ama ndiye atakayeanzisha ukaguzi wa wastaafu kabla ya kikokotoo kuanza kutumika tena!!
 
Back
Top Bottom