Mpui Lyazumbi
JF-Expert Member
- Sep 1, 2010
- 1,856
- 371
Mdomo umemtoa
sasa huoni kuwa huo ndio utahaira,utaanzaje chuo halafu uanze la kwanza uishie tena chuo..yani wewe pumba tu..ccm wanakulipia airtime kuchafua nyuzi za watu tu..vua shungi hiloHakuna kokote unapoanza darasa na kuwa Chuoni isipokuwa kwenye uIslaam tu, ni nani abishae?
Sisi huanza Chuo kuanzia chekechea, wapi weyeee?
Ndio maana sisi CDM hatuna vyeo vya makamu wala naibu nani sijui ili ruzuku ambazo ni kodi za wananchi zisitumiwe vibaya! na tuna mpango wa wabunge wa viti maalumu kuwapiga stop bungeni ili tuokoe pesa za walipa kodi aaaah acha kunitolea macho natania tu jamani.
sasa huoni kuwa huo ndio utahaira,utaanzaje chuo halafu uanze la kwanza uishie tena chuo..yani wewe pumba tu..ccm wanakulipia airtime kuchafua nyuzi za watu tu..vua shungi hilo
ni vema ukitazama picha hii na kisha ukamuuliza huyu bwana mkubwa kuhusu kidole kinamaanisha nini huenda akawa na jawabu tosha kwako mkuu.Naona jamaa kanyosha kidole juu. Hivi kwa nini hawa wenzetu wengi wao wanapoongea na kusisitiza pointi mpaka wanyoshe kidole? Hii nimeiona kwa wengi tu (wanasiasa na hata viongozi wa dini) wa dini ya kiislamu. Kuna nini kwenye kidole? Hakuna namna nyingine ya kuwasilisha ujumbe?
maalim ana kazi nyingi sana, nyingine ni kulisha majini.
maalim ana kazi nyingi sana, nyingine ni kulisha majini.
Mkuu siku hizi ameamua kuwa msanii wa maigizo,anashindana na kina kayumba..ametoa muvi yake kali kweli kweli kwenye tamasha la ziff huko zbrmaalim ana kazi nyingi sana, nyingine ni kulisha majini.