Kiujumla makamu wa rais hana kazi tofauti na kuwa na haki ya kubwia kodi zetu. Hata bilal huku bara si anadhurura tu. Siku izi eti anataka apewe somo udom aendelee kutoa lecture,sijui anataka walimu watoe wapi kazi. Vyeo vya makamu,na viti maalum ni utapeli wa kodi Tanzania.
Hakuna kokote unapoanza darasa na kuwa Chuoni isipokuwa kwenye uIslaam tu, ni nani abishae?
Sisi huanza Chuo kuanzia chekechea, wapi weyeee?
Hakuna kokote unapoanza darasa na kuwa Chuoni isipokuwa kwenye uIslaam tu, ni nani abishae?
Sisi huanza Chuo kuanzia chekechea, wapi weyeee?
Wewe utakuwa na matatizo yako binafsi na waislam, ila kunyoosha kidole watu wengi wana tabia hizo mfano mkubwa ni Mh. Mbowe je na yy muislam.Naona jamaa kanyosha kidole juu. Hivi kwa nini hawa wenzetu wengi wao wanapoongea na kusisitiza pointi mpaka wanyoshe kidole? Hii nimeiona kwa wengi tu (wanasiasa na hata viongozi wa dini) wa dini ya kiislamu. Kuna nini kwenye kidole? Hakuna namna nyingine ya kuwasilisha ujumbe?
Ilmu akhera,..........kazi kweli kweli
..... Swali zuri !! Sisi tumezoe kutoa ushuhuda kuwa '' Mwenyezi Mungu i Mmoja" hakuzaa wala hakuzaliwa, yeye tu ndiye wakutegemewa na si vinginevyo, wala hafanani na chochote (kilicho majini, ardhini au juu mbinguni) ................ inaitwa "shahada"Naona jamaa kanyosha kidole juu. Hivi kwa nini hawa wenzetu wengi wao wanapoongea na kusisitiza pointi mpaka wanyoshe kidole? Hii nimeiona kwa wengi tu (wanasiasa na hata viongozi wa dini) wa dini ya kiislamu. Kuna nini kwenye kidole? Hakuna namna nyingine ya kuwasilisha ujumbe?
Ndio maana akilizenu zinawaza kinyume nyume!
unajuamaana ya fox kwa tuliokuwa enzi za miaka ya 80 "ilikuwa na maana mwanamke Malaya" halafu huko madrasa mnajaza watoto majini tuHakuna kokote unapoanza darasa na kuwa Chuoni isipokuwa kwenye uIslaam tu, ni nani abishae?Sisi huanza Chuo kuanzia chekechea, wapi weyeee?