Tangu Soka lianze hadi leo hii, Kuna Mchezaji yeyote aliyefikia kiwango cha Maradona au Messi?

mkuu nimeshuhudia clip za pele..... kumbuka hata clip za Didi wa brazil 1950 world cup zipo sana na zinaonyeshwa sana ESPN Classics na hta kwa statistics huyo messi ni sh**t kwa pele..... kumbuka pele ana magoli zaidi ya 1350 ambapo messi hajafkia hata nusu ssa how dare umlinganishe na pele..... pia pele ametoa assists nyingi kuliko mchezaji yoyote kwenye historia ya mpira..... pia pele kumbuka alicheza kipindi ambacho mpira haukuwa publicised sana kma ssa yaani matuzo sijui pesa nyingi hivyo naamini angecheza miaka hii angechukua tuzo kuliko hata huyo dogo wenu.....pele ndio mtu aliyeshinda zaidi tuzo ya juu zaidi kwenye mpira inaitwa FIFA ORDER OF MERIT AWARD na pia kumbuka kwa kura za karatasi ndio Alishinda PLAYER OF THE 20TH CENTURY ssa ina maana hao waliompigia kura walidanganya??? au hawamjui kuliko sisi tunavyomjua???? embu tuweni serious

unajua hata alexander the great ndio best ever general in the history of warfare ila je nani kati yetu alishawahi muona??? kwani ili kitu kiwe better lazma ukione?? ila ushahidi wa watu waliomuona wakati ule inatosha kutuaminisha how influencial he was kwenye uwanja wa soka!!!

PELE HAJAPATA MPINZANI BADO hizo highest stats bado hakuna aliyezifikia so kutoa mifano ya la liga haina mantiki

Mheshimiwa ustazi Zitto zuberi kabwe! Na wewe umo humu? Umeachana na Siasa Mkuu?
 
Kwa uliowataja Gaucho anawatosha

Gaucho sio level yake wawili hawa. Gaucho level yake iniesta,Aguero,okocha nk. hata uwalete akina pele, zidane, de stephano,redondo bado sana kwa wafalme hawa Sembuse gaucho hata de lima tu kamfunika vibaya tu!
 
Gaucho sio level yake wawili hawa. Gaucho level yake iniesta,Aguero,okocha nk. hata uwalete akina pele, zidane, de stephano,redondo bado sana kwa wafalme hawa Sembuse gaucho hata de lima tu kamfunika vibaya tu!
Gaucho yup unamuongelea mkuu...ile style yake ya uchezaj ya kuburudsha fans haitowai kutokea kamwe
 
Gaucho yup unamuongelea mkuu...ile style yake ya uchezaj ya kuburudsha fans haitowai kutokea kamwe

Ukiniambias kutikisa mitako nitakukubaria hakuna wakufanana na gaucho,,,,but 2kienda kwenye soka swafii na lenye ustaarabu na lakuvutia na kuziletea mafanikio timu zao,, BAC NI KING MEC NA KING DONAZ,, hakunaga na hawatatokea Kama hawa. labda baada ya miaka 1000,, Na huu mjadala ni heli ufikie tamati. Kwaheli mkuu.
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Zamani wakati WA kugombea uchezaji bora wa dunia bara au Nchi ilikua Sio rahisi kujua Nani atachukua zawadi hiyo maana mafundi walikuwa wengi Sana. Lkn kwasasa mshindi wa Barron de our Wala hakuna Shida kumjua mana duniA mzima wapo wawili tu. Yani mess na ronado hii unaonyesha kiwango cha mpira kimeshuka Sana .mess na ronado wanakuzwa na vyombo vya habari tu kwakua sasa mpira ni biashara na makampuni ya habari yako kibiashara zaidi. Lkn kwasasa mafundi ni wachache Sana.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app
 
Zamani wakati WA kugombea uchezaji bora wa dunia bara au Nchi ilikua Sio rahisi kujua Nani atachukua zawadi hiyo maana mafundi walikuwa wengi Sana. Lkn kwasasa mshindi wa Barron de our Wala hakuna Shida kumjua mana duniA mzima wapo wawili tu. Yani mess na ronado hii unaonyesha kiwango cha mpira kimeshuka Sana .mess na ronado wanakuzwa na vyombo vya habari tu kwakua sasa mpira ni biashara na makampuni ya habari yako kibiashara zaidi. Lkn kwasasa mafundi ni wachache Sana.

Sent from my TECNO-L8 using JamiiForums mobile app

Hao hao mafundi unaowakusudia mzee. Wangelikuwepo wakina messi kipindi hicho wacngeliambulia chochote.Messi weka mbali na watoto,,hafananishwi na vitoto na watoto ata cku moja
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Hao hao mafundi unaowakusudia mzee. Wangelikuwepo wakina messi kipindi hicho wacngeliambulia chochote.Messi weka mbali na watoto,,hafananishwi na vitoto na watoto ata cku moja
hawa Messi and Cristiano Ronaldo wapo kizazi kisicho jua mpira ila wangecheza miaka ya 2002 kurud nyuma walikua wa kawaida tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom