Tangazo toka Tume ya Uchaguzi

Lyangalo

JF-Expert Member
Sep 10, 2009
679
234
Kuanzia sasa msishangae matokeo ya uchaguzi kupinduliwa.

Kwanza, Chama chenyewe ni cha MAPINDUZI, kwa hiyo kupindua matokeo si jambo la ajabu.


Pili, Viongozi wake wote wa juu ni Wanajeshi kitaaluma

Mwenyekiti: Luteni Kanali Jakaya Kikwete
Katibu Mkuu: Luteni Yusuf Makamba
Naibu Katibu Mkuu: Kapteni George Mkuchika
Katibu wa Itikadi/Uenezi: Kapteni john Chiligati
Meneja Kampeni: Kanali Abdulrahaman Kinana

Tatu, Gazeti la Serikali, Daily News ambalo editor in Chief ni Rais, limeshasema: Dk. Slaa hatakuwa rais wa tano wa Tanzania

Nne: Tamko la Luteni Jenerali Shimbo linajieleza: "Wagombea wakubali matokeo, la sivyo..."

Tano: Katiba ya nchi/ sheria ya uchaguzi iko wazi: Matokeo ya urais yakishatangazwa, hakuna chombo chochote kinachoweza kuyapinga.




Sasa mnashangaa nini eti mnajidanganya bila kujua kuwa nchi hii ni ya utawala wa kijeshi.



Haya muwe mnaenda kupiga kura kutimiza haki yenu ya kikatiba, narudia tena kutimiza haki yenu ya kikatiba.



Nawasilisha;
Mkurugenzi wa Tume,
Rajab Kiravu.
Nakala: Msajili wa Vyama vya Siasa - John Tendwa,
Dk Slaa
 
Kuanzia sasa msishangae matokeo ya uchaguzi kupinduliwa.

Kwanza, Chama chenyewe ni cha MAPINDUZI, kwa hiyo kupindua matokeo si jambo la ajabu.


Pili, Viongozi wake wote wa juu ni Wanajeshi kitaaluma

Mwenyekiti: Luteni Kanali Jakaya Kikwete
Katibu Mkuu: Luteni Yusuf Makamba
Naibu Katibu Mkuu: Kapteni George Mkuchika
Katibu wa Itikadi/Uenezi: Kapteni john Chiligati
Meneja Kampeni: Kanali Abdulrahaman Kinana

Tatu, Gazeti la Serikali, Daily News ambalo editor in Chief ni Rais, limeshasema: Dk. Slaa hatakuwa rais wa tano wa Tanzania

Nne: Tamko la Luteni Jenerali Shimbo linajieleza: "Wagombea wakubali matokeo, la sivyo..."

Tano: Katiba ya nchi/ sheria ya uchaguzi iko wazi: Matokeo ya urais yakishatangazwa, hakuna chombo chochote kinachoweza kuyapinga.




Sasa mnashangaa nini eti mnajidanganya bila kujua kuwa nchi hii ni ya utawala wa kijeshi.



Haya muwe mnaenda kupiga kura kutimiza haki yenu ya kikatiba, narudia tena kutimiza haki yenu ya kikatiba.



Nawasilisha;
Mkurugenzi wa Tume,
Rajab Kiravu.
Nakala: Msajili wa Vyama vya Siasa - John Tendwa,
Dk Slaa

Nimeipenda hii, pokea senks yako!
 
Kuanzia sasa msishangae matokeo ya uchaguzi kupinduliwa.

Kwanza, Chama chenyewe ni cha MAPINDUZI, kwa hiyo kupindua matokeo si jambo la ajabu.


Pili, Viongozi wake wote wa juu ni Wanajeshi kitaaluma


Mwenyekiti: Luteni Kanali Jakaya Kikwete
Katibu Mkuu: Luteni Yusuf Makamba
Naibu Katibu Mkuu: Kapteni George Mkuchika
Katibu wa Itikadi/Uenezi: Kapteni john Chiligati
Meneja Kampeni: Kanali Abdulrahaman Kinana

Tatu, Gazeti la Serikali, Daily News ambalo editor in Chief ni Rais, limeshasema: Dk. Slaa hatakuwa rais wa tano wa Tanzania

Nne: Tamko la Luteni Jenerali Shimbo linajieleza: "Wagombea wakubali matokeo, la sivyo..."

Tano: Katiba ya nchi/ sheria ya uchaguzi iko wazi: Matokeo ya urais yakishatangazwa, hakuna chombo chochote kinachoweza kuyapinga.




Sasa mnashangaa nini eti mnajidanganya bila kujua kuwa nchi hii ni ya utawala wa kijeshi.



Haya muwe mnaenda kupiga kura kutimiza haki yenu ya kikatiba, narudia tena kutimiza haki yenu ya kikatiba.



Nawasilisha;
Mkurugenzi wa Tume,
Rajab Kiravu.
Nakala: Msajili wa Vyama vya Siasa - John Tendwa,
Dk Slaa

nimeipenda hii iyagalo maana kwa mfumo kama huu inathibitisha jinsi jamaa asivyojiamini kwa unyenyekevu JWTZ, tutafika tu
 
Hapa ndo tunatakiwa tufumbue macho na tujue kuwa tunaongozwa kijeshi na demokrasia haitakuwepo kamwe!
 
Wakuu huu ni uchochezi tuweni makini na tunayoyafanya humu mtakuja jutia nafsi zenu...........
 
Imeniingia akilini kabisa...kapteni, kanali n.k ndio mzee wetu anawasogeza karibu.... Subiri baraza la mawaziri utasikia...
Good point... I like your post
 
Tunaposema nchi kama Sudan na nchi nyingi za Afrika Magharibi zinatawaliwa kijeshi tunamaanisha nini ikiwa nyumbani hali iko hivi Mkuu hapo umenena kwa dhati kabisa
 
Waana wa nchi....

Hii ni hali mbaya wanayioweka CCM na kundi lake lote, lakini siku zote tukumbuke, Mungu anayajua haya yote na kusikiliza kilio cha watu wake kuliko Mwanadamu na nguvu yoyote ile.

Tukumbuke nguvu za majeshi Binadamu hawa ni kama ZERO juu ya haki na kilio cha watu na taifa lao. ......Tafakarini, maguvu ya akina Goliathi, mfilisti aliangushwa na Daudi, kinda mdogo wa chini ya miaka 20! ....Jeshi kubwa la Ukomunist na Ukomunuist wenyewe viliangushwa hata pasipo fujo ya wananchi au hata vita ya mtutu! ......Ukuta Mkuu wa Hebron (uliokuwa unamilikiwa na Jeshi kubwa la Warumi) uluangushwa na waana wa Israel kwa kupaaza sauti tu (enzi hizo)!, .....Jeshi kubwa la Wamisri chini ya Pharaoh lilimalizikia baharini-Sham, pasipo hata mkono wa Wa-israel kuwapiga!. .....Jeshi hatari la Makaburu wa South Africa, likiwa linamiliki hadi silaha za Nyuklia, lili-collapse dhidi ya kilio cha Watu na taifa la baba na babu zao, waafrika halisi...sasa waliojiona kuwa ni class ya juu, wanatawaliwa na 'Wenye nchi' yao!!.....!!

Kwa mantiki hii, inaonyesha kuwa CCM si kitu, si lolote ila wenyewe 'wanajilisha upepo' na kujifariji kuwa wanazo nguvu za dola, na mihimili ambayo wanaweza kuimiliki ili kupora haki za wananchi na taifa lote kuwa chini ya miguu yao??.....Kamwe! Tutayakumbuka maneno yasiyopote kamwe kuwa "HAKI HAIPOTEI ..ila INAWEZA TU KUCHELEWESHWA!"...ambalo ndilo wanalolifanya CCM dhidi ya Haki na ustawi wa Watanzania...HAKI ITATIMIA TU!

Tutafakari kwa makini, na kuwa na Tumaini thabiti lisiloteterema, maana mwisho wao uu waja..........Nawasilisha!
 
Back
Top Bottom