Dx and Rx
JF-Expert Member
- Jul 16, 2017
- 1,303
- 3,085
HABARI KWA WANAMUHASSO
Mwanafunzi mwenzetu Kelvin Mremi wa Kozi ya Udaktari wa Kinywa na meno mwaka wa nne, anahofiwa kupotea.
Bwana Mremi, alionekana mara ya mwisho, siku ya jumatano (6/03/2019), katika makazi yake huko Kariakoo. Kwa muujibu wa wapangaji wenzake ambao pia ni wanafunzi wenzake, Kevin aliondoka nyumbani siku hio mchana, na hakurudi, wala kuonekana tena.
Vivyo hivyo, hali ya sintofahamu iliongezeka pale, Bw. Kelvin alipokosekana kwenye mtihani ulio fanyika siku ya Alhamisi(07/03/2019) saa nane mchana, huku simu yake ikiwa haipatikani.
Juhudi za kutafuta taarifa za uwepo wake kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki zimegonga mwamba mpaka sasa.
Tunaomba, mwenye taarifa yoyote juu ya mahali alipokuwa Bw. Kelvin Mremi, atoe taarifa haraka iwezekanavyo kwa viongozi wa serikali ya wanafunzi MUHASSO
0765773224,0789650088,0763749381,0754231027
Mwanafunzi mwenzetu Kelvin Mremi wa Kozi ya Udaktari wa Kinywa na meno mwaka wa nne, anahofiwa kupotea.
Bwana Mremi, alionekana mara ya mwisho, siku ya jumatano (6/03/2019), katika makazi yake huko Kariakoo. Kwa muujibu wa wapangaji wenzake ambao pia ni wanafunzi wenzake, Kevin aliondoka nyumbani siku hio mchana, na hakurudi, wala kuonekana tena.
Vivyo hivyo, hali ya sintofahamu iliongezeka pale, Bw. Kelvin alipokosekana kwenye mtihani ulio fanyika siku ya Alhamisi(07/03/2019) saa nane mchana, huku simu yake ikiwa haipatikani.
Juhudi za kutafuta taarifa za uwepo wake kwa familia, ndugu, jamaa na marafiki zimegonga mwamba mpaka sasa.
Tunaomba, mwenye taarifa yoyote juu ya mahali alipokuwa Bw. Kelvin Mremi, atoe taarifa haraka iwezekanavyo kwa viongozi wa serikali ya wanafunzi MUHASSO
0765773224,0789650088,0763749381,0754231027