Tumesikitika sana na Tumeumia sana...Kamati kuu imepitia kwa kina hili suala na wafunga pm tuwatoe woga hadi kufikia sasa huyo mwanachama anafanyiwa tathmini ya kina.
Kunjuweni kidogo.
Kwa niaba ya mwenyekiti, naomba nitowe rai na pole kwa wale wote walio jeruhiwa na swala la picha.Unaliongeleaje suala la picha ndugu mwenyekiti ?
HakikaNa ili zifunguliwe mjumbe wa 7800 anatakiwa aombe radhi wanachama wote.
Kwa kweli kikao kifanyike haraka kwa hati ya dharura...
Ndg katibu mkuu, bila kupoteza muda naomba kupata muongozo wa kazi mahsusi ya picha nitakayokuwa nimegeuka nyuma.!!Ndigu mjumbe nasikitika kukuambia bado jina lako halipo chamani tunaomba ufike sehemu husika mara moja na picha mbili moja ukiwa umesima kiupande nyingine umegeuka nyuma.
Asante saana.
Wanachama wa pm tumeweka maazio ya dharura kwamba hakuna kumkubali member yeyote mpaka tufikie makubaliano...Naomba nitangaze hapa hadharani kwamba nineijaza nafasi yako mujarab kabisa....
Ndugu mjumbe kinda kinda asante kwa ujumbe muhimu saana.Mh. Mwenyekiti kutokana na agenda tajwa hapo juu napenda kuwasilisha hoja ya kuhuzunisha kuwa 'couple za mafichoni ni nyingi sana na hazina idadi na hizi hufahamika tu pale muhusika mmojawapo akichomoa betri'. !!
Hahahaa'
Tumeumia sana....7800
kuna watu watakua wanajiandaa vema kumface joanah wasijue kua watapoteza 7800 zao maana joanah ananipenda mimi hilo liko wazi na nipo hapa nilipo nafikiria jibu la kumpatia ambalo halitamuumiza kihisiaAwali ya yote uongozi wa chama kikongwe jukwaani CC kinatoa radhi kwa changamoto zinazojitongeza jukwaani. Uongozi wa chama umekuwa ukifuatilia kwa kina na kufanya tathmini za dhati kabisa na hatua za awali zitachukulia.
Aidha, uongozi wa chama katika daftari lake la ukaguzi tumeendelea kupokea wanachama tele hasa wa jinsia pendwa na tunaipongeza timu yetu ya ukaguzi kwa kazi nzuri wanayofanya.
Dhumuni la andiko hili ni kuwajulisheni tumeskitika saana kuoneni katika updayes za daftari la couple hadi kufikie sasa ipo moja tu chamani ambayo ni Smart911 na mahondaw.
Kwa muktadha huo chama kinawatangazieni wanachitchat wake na wale wa MMU kuwa majimbo yote yapo huru ispokuwa jimbo tajwa juu. Wanachama wa kiume wanaombwa watumie fursa hii vilivyo na hatutaki mchezo kwenye hili.
Aidha uongozi kwa haraka umewataka.
1. Wanachama wote wa kike kuacha milango yao wazi AKA PM- ni shurti sio ombi.
2. Wanachama wa jinsia pendwa wapya kujiandikisha mara moja kwa katibu na mwenyekiti kuanzia sasa. PM ya katibu na mwenyekiti zipo wazi.
3. Nafasi ya katibu muenezi wa chama ipo wazi. Vijana changamkieni fursa.
Asanteni tuendelee kukijenga chama.
Imetolewa na Katibu na mwenyekiti wa chama.
Hahaha.Kozi fupi chini ya mzee huyo zifanyiwe maboresho,idadi ya PM zilizofungwa ni nyingiiiiii