Ujasiriamali mwengine .....mmh
inamaana ukiunga kubwa na ndogo unalipa mia 500?
mfano mimi nataka kupiga nusu iwe kubwa au ndogo watakubali nusu bei?
Kubwa ni lazima iaambatane na ndogo, hivyo ukilipia kubwa, ndogo inakuwa ni kama bonus, bureee! :suspicious:inamaana ukiunga kubwa na ndogo unalipa mia 500?