tangazo la zantel linakashifu dini

Zekidon

JF-Expert Member
May 29, 2013
1,903
566
Ndoa Ni sakramenti takatifu kwa wakristo,nachukizwa na matumizi ya maneno toka sakramenti hiyo katika tangazo la zantel, Kuna maneno mengi Tu kuliko kutumia sakramenti takatifu, acheni mnatuboa wengi
 
Ha ha haa lile la kufunga ndoa na zantel na kuachana na michepuko (tigo n voda)?
 
yaani anachojaribu kueleza ni kuwa wametumia maneno ambayo yanatumika kanisani wakatiwa kufunga ndoa za kikristu, ni kitu ambacho kimemchukiza
 
yaani anachojaribu kueleza ni kuwa wametumia maneno ambayo yanatumika kanisani wakatiwa kufunga ndoa za kikristu, ni kitu ambacho kimemchukiza

you can imagine kwanini hawakutumia maneno ya hazana maana they are affiliated. Washafanya ibada zetu sehemu ya michezo Yao? Wanasikitisha. Mimi nitafurahi tangazo litakalofuata kuwala hazana
 
Ndoa Ni sakramenti takatifu kwa wakristo,nachukizwa na matumizi ya maneno toka sakramenti hiyo katika tangazo la zantel, Kuna maneno mengi Tu kuliko kutumia sakramenti takatifu, acheni mnatuboa wengi
hebu tuondolee upumbavvu wako hapa, kwenye ukristo hakuna akili mgando kama za al shabaab, inaonekana wewe jinga hata movie za Hollywood uangalii.
 
hebu tuondolee upumbavvu wako hapa, kwenye ukristo hakuna akili mgando kama za al shabaab, inaonekana wewe jinga hata movie za Hollywood uangalii.
Naona minyoo yako inaanza kupona nowdays, na huyu mtoa mada yaonyesha ana minyoo sugu. Hebu muelekeze wapi ulikopata dawa za minyoo sugu naye akanunue
 
you can imagine kwanini hawakutumia maneno ya hazana maana they are affiliated. Washafanya ibada zetu sehemu ya michezo Yao? Wanasikitisha. Mimi nitafurahi tangazo litakalofuata kuwala hazana

Mkuu hueleweki, hazana ndo nini?
 
hebu tuondolee upumbavvu wako hapa, kwenye ukristo hakuna akili mgando kama za al shabaab, inaonekana wewe jinga hata movie za Hollywood uangalii.

it is very simple and clear waondoe tangazo huelewi nini hapo
 
Naona minyoo yako inaanza kupona nowdays, na huyu mtoa mada yaonyesha ana minyoo sugu. Hebu muelekeze wapi ulikopata dawa za minyoo sugu naye akanunue
mkuujitambue, tangazo linagusia sakramenti takatifu ya ndoa, hatuhitaji michezo yanapokuja maswala muhimu ya imani, simply waliondoe
 
Kila jambo tutalihusisha na dini tuu. Sijui tumekuwaje?

mkuu limegusia dini ndio maana nalizungumzia, there are a million ways to make creative adverts without raising viewers outcries wangekuwa professionals wasingetengeneza matangazo ya kijinga kutania dini za watu, legally its an offence which needs to be corrected
 
Back
Top Bottom