Sisi wana Kigoma hatujui mwakilishi wetu amepotelea wapi, juhud zetu za kumtafuta zimegonga mwamba, namba za sim alizokuwa anatumia kwenye kampen hana tena ashazibadili, tumepata habari tu kuwa anapatikana sana maeneo ya Mikocheni dsm kwenye bar iitwayo Cruz Inn akiwa sana na Fred Lowassa, mara chache sana dodoma na monduli sijui anafanya nin kule. Ni miaka miwili hajaja kwetu huku, mara ya mwisho alikuja kumpokea raisi alipokuja huku na tunafikiri aliondoka naye, afadhali anayeonekana huku hata kidogo ni Zitto Kabwe mbunge wa jimbo jirani naye anapita tu akitokea Tanganyika Beach Hotel. Atakayetuonea mlengwa wetu ampe salamu kuwa tumemkumbuka sana na sura yake tumeanza kuisahau.
Sisi wana Kigoma hatujui mwakilishi wetu amepotelea wapi, juhud zetu za kumtafuta zimegonga mwamba, namba za sim alizokuwa anatumia kwenye kampen hana tena ashazibadili, tumepata habari tu kuwa anapatikana sana maeneo ya Mikocheni dsm kwenye bar iitwayo Cruz Inn akiwa sana na Fred Lowassa, mara chache sana dodoma na monduli sijui anafanya nin kule. Ni miaka miwili hajaja kwetu huku, mara ya mwisho alikuja kumpokea raisi alipokuja huku na tunafikiri aliondoka naye, afadhali anayeonekana huku hata kidogo ni Zitto Kabwe mbunge wa jimbo jirani naye anapita tu akitokea Tanganyika Beach Hotel. Atakayetuonea mlengwa wetu ampe salamu kuwa tumemkumbuka sana na sura yake tumeanza kuisahau.
Bora huyo walau huyu Eustace Katagira wa Kyerwa tangu alipopewa ubunge 2010 ndo alipewa tiketi ya mojakwamoja hata hayo matusi hatuyasikii cjui huwa anakuwemo bungeni? sasa najiandaa kumwondoa.
Kwani katagira bado ni mbunge jamani, ebu tujuzane jamani.
Katagira ni mbunge bubu bungeni, ukimtaka nenda pale jengo la Azam round about ya jamhuri na Azikiwe ana ofisi yake ya mambo ya Auditing and whatwhat sijui!!