mpita-njia
JF-Expert Member
- Dec 3, 2010
- 1,732
- 1,610
Asubui hii kwenye matembezi nkmekutana na hili Tangazo kuhusu utalii.
Nimefarijika ila kuna jitihada zaidi zinahitajika, Kenya wanauzwa kama ndio Main meal sisi kama chachandu.
Je inawezekana tukanya dili na hizi travel agency vilete watalii direct bila kupitia Kenya?
Maana tukitapa hiyo £2339( kama mil 6.7) kwa kila kichwa itakuwa ni faraja sana kwa uchumi wetu.
Nimefarijika ila kuna jitihada zaidi zinahitajika, Kenya wanauzwa kama ndio Main meal sisi kama chachandu.
Je inawezekana tukanya dili na hizi travel agency vilete watalii direct bila kupitia Kenya?
Maana tukitapa hiyo £2339( kama mil 6.7) kwa kila kichwa itakuwa ni faraja sana kwa uchumi wetu.