Tangazo la TRA kuhusu risiti lirekebishwe

1954

JF-Expert Member
Nov 14, 2006
11,182
13,525
Mwenzenu nimekuwa nakwazika na lile tangazo la Mamlaka ya Kodi Tanzania (TRA) linalotolewa na baadhi ya vituo vya televisheni kuhusu umuhimu wa kupewa risiti unaponunua mahitaji yako dukani...Yule mwenye duka (wa kwanza) ana lafudhi ya watu Fulani kutoka eneo moja nchini mwetu...Huyu mwenye duka inaonekana kuwa ni mkwepa kodi...lakini yule mwenye duka wa pili inaelekea siyo mkwepa kodi, kwani anatoa risiti haraka haraka kuliko yule wa kwanza ambaye anafoka pale anapoulizwa kuhusu risiti...sasa mimi napata tafsiri tofauti...ikiwezekana waliotengeneza tangazo hilo warekebishe kuhusu suala la lafudhi ili isionekane watu hao na ambao ni watanzania wenzetu ni wakwepa kodi.
 
Mwenzenu nimekuwa nakwazika na lile tangazo la Mamlaka ya Kodi Tanzania (TRA) linalotolewa na baadhi ya vituo vya televisheni kuhusu umuhimu wa kupewa risiti unaponunua mahitaji yako dukani...Yule mwenye duka (wa kwanza) ana lafudhi ya watu Fulani kutoka eneo moja nchini mwetu...Huyu mwenye duka inaonekana kuwa ni mkwepa kodi...lakini yule mwenye duka wa pili inaelekea siyo mkwepa kodi, kwani anatoa risiti haraka haraka kuliko yule wa kwanza ambaye anafoka pale anapoulizwa kuhusu risiti...sasa mimi napata tafsiri tofauti...ikiwezekana waliotengeneza tangazo hilo warekebishe kuhusu suala la lafudhi ili isionekane watu hao na ambao ni watanzania wenzetu ni wakwepa kodi.

Kama wanainterest na lafudhi wangeweka lafudhi ya wale wawekezaji wanaotuhujumu kila kukicha
 
Tatizo wanaohusika wana andaa matangazo bila kushirikisha wadau. Wangewapa wadau wachache watoe maoni kabla ya kulitoa rasmi
 
True, nashauri vituo vinavyorusha tangazo hilo visitishe kwanza kulirusha hadi hapo litakapofanyiwa editing kwani wao ndio wanaooneka kuhusika na tangazo hilo kuliko waandaaji. Huu ni udhalilishaji.
 
Sijawahi kuwaza chochote kulihusu hilo tangazo ila nliposoma hii threa Dah! Ikanijia live kuwa tulikuwa tunaambiwa kuwa watu hao ndo wataalam wa kukwepa kodi kwenye mapato yao hivyo TRA wameelekezwa majizi ya kodi yaliko. Aksante wadadavuzi wa mambo.
 
Sijawahi kuwaza chochote kulihusu hilo tangazo ila nliposoma hii threa Dah! Ikanijia live kuwa tulikuwa tunaambiwa kuwa watu hao ndo wataalam wa kukwepa kodi kwenye mapato yao hivyo TRA wameelekezwa majizi ya kodi yaliko. Aksante wadadavuzi wa mambo.
wamevuruga bandarini na tra,bora usikie,mtaani wakiskia watu wa kodi wanakuja wanafunga maduka,hawajakosea hlo tangazo,mbna la mpemba na tbs hamjasema!?..duka na mangi bana!
 
Uko sahihi, japo mi sio Mchaga lakini sijapenda uwasilishaji wa ujumbe ule. Isitoshe tangazo lenyewe halina mvuto wa kuliangalia.
 
Huko TRA wenye hiyo lafudhi ndo wako wengi balaa,labda wandaaji waliona wajipendelee hilo tangazo waweke kwa lafudhi yao...
 
Mwenzenu nimekuwa nakwazika na lile tangazo la Mamlaka ya Kodi Tanzania (TRA) linalotolewa na baadhi ya vituo vya televisheni kuhusu umuhimu wa kupewa risiti unaponunua mahitaji yako dukani...Yule mwenye duka (wa kwanza) ana lafudhi ya watu Fulani kutoka eneo moja nchini mwetu...Huyu mwenye duka inaonekana kuwa ni mkwepa kodi...lakini yule mwenye duka wa pili inaelekea siyo mkwepa kodi, kwani anatoa risiti haraka haraka kuliko yule wa kwanza ambaye anafoka pale anapoulizwa kuhusu risiti...sasa mimi napata tafsiri tofauti...ikiwezekana waliotengeneza tangazo hilo warekebishe kuhusu suala la lafudhi ili isionekane watu hao na ambao ni watanzania wenzetu ni wakwepa kodi.
Halijakidhi viwango halileti uhalisia na linapotosha , badala ya kuonesha vitu serious vinavyopaswa kulipiwa kodi tunaonyeshwa duka la Mangi mtaani halafu eti kabinti kakidai risiti ya biscuits utafikiri ni supermarket
 
Nilipigwa torch wakati nakaribia mbezi! Nikalipa fine nikauliza risiti wakaniambia niende nikachukue kibaha yaani nirudi nyuma! Nashangaa presidaa unasisitiza tupewe risiti wakati kwenye fine ni issue kupewa na hao wasimamia sheria wako!
 
Mwenzenu nimekuwa nakwazika na lile tangazo la Mamlaka ya Kodi Tanzania (TRA) linalotolewa na baadhi ya vituo vya televisheni kuhusu umuhimu wa kupewa risiti unaponunua mahitaji yako dukani...Yule mwenye duka (wa kwanza) ana lafudhi ya watu Fulani kutoka eneo moja nchini mwetu...Huyu mwenye duka inaonekana kuwa ni mkwepa kodi...lakini yule mwenye duka wa pili inaelekea siyo mkwepa kodi, kwani anatoa risiti haraka haraka kuliko yule wa kwanza ambaye anafoka pale anapoulizwa kuhusu risiti...sasa mimi napata tafsiri tofauti...ikiwezekana waliotengeneza tangazo hilo warekebishe kuhusu suala la lafudhi ili isionekane watu hao na ambao ni watanzania wenzetu ni wakwepa kodi.
mkuu nyenye si ndo wauza maduka ile kama komedi tu mkuu ila me sijaelewa mtoto anataka biskut na risiti kwa hili sijalielew mana ata duka la jumla ukinunua pakti moja hawakupi risit sasa ili tangazo lisije likaleta mitafaruk huk mitaani tra tengenezen matangazo yeny tija kwa taifa hizo pesa mnazochezea ni kodi zetu
 
Back
Top Bottom