Tangazo la TANZANIA CNN Marekani Limekamilika..?

Status
Not open for further replies.

Hasara

Senior Member
Dec 29, 2006
138
9
Rais Jakaya Kikwete hivi karibuni amezindua Tanagazo mjini New York kutangaza vivutio vya Utalii vilivyoko nchini Tanzania jamani kwa wale walio liona tusaidiane ushauri tangazo hilo limegarimu pesa za walipa kodi, dollar za kimarekani laki saba na nusu kwa miezi sita tu,$750,000

linaonekana katika CNN HEADLINES tu nisaidieni kwa sababu waliyotoa ushauri wakutangaza CNN ni wasanii tu vibibi viwili vya kizungu wanaoiwakilisha Tanzania hapa marekani, sasa jamani mimi sijui, Wako wengi hapa waliyo liona watuambie kama linatoa infor. za kutosha kwa mtu ambaye ajawai kuisikia Tanzania na iko wapi,

kwa mawazo yangu hilo tanzgazo ni kwa watu wanao jua Tanzania kama vile ma-tour operetors tu, je watu wa kawaida wasafiri Wasiyojua TANZANIA itakuwaje na je kwanini wametumia Logo badala ya kuandika TANZANIA kama nchi, wao wametumia logo, jamani hayo ni mawazo yangu ebu mwingine aliye liona atusaidie hapa.

kunanjia nyingi za kutangaza utalii wetu lakini watu wanatafuta ulajitu

ukiangalia matangazo ya nchi nyingine kama Jamaica, Malasia,India na kungine matangazo yao yana website ambayo ina information za kutosha sasa lile tangazo halina information za kutosha kwanini kusiwena website www.gototanzania.com au www.visittanzania.com jamani mbona tumeishiwa mawazo.

nina kumbuka Rais, mawaziri na wabunge walikuwa wana liangalia bungeni, akatumwa mkurugenzi wa bodi ya kutanzana utalia na muhifadhi mkuu wa ngorongoro kulileta CNN tangazo baada ya bunge kuliangali kama lipo sahii sasa jamani kweli hawa viongozi wetu awakumbuki kwamba kuna umuhimu wa tovuti.

je ile tovoti ya WWW.TAZANZANIATOURISTBOARD.COM ni ya nani?
kama kuna mtu mwenye habari zaidi munieleweshe jamani ......

ambao kungelikuwa na tovuti ma- tour operetor wa Tanzania wangelikuwa listed ndani si ingewasaidia pia kupata wageni, hii nikupoteza pesa tu hilo tangazo halimsaidii mtu yeyote hapa tanzania ,

walio liandaa ndiyo waliyo tengeneza pesa
kila mwezi tutawaambia watu wangapi wameangalili hilo tangazo nibure kwenda CNN kupewa takwimu za matangazo, kwa sasa wana JF wanafuatilia tutaziweka hapa JF.

mimi sioni ajabu tutokuwa na website hata IKULU NO WEBSITE miaka miwili mimi ninafikiria viongozi wa Tanzania wana allegy, NA TEKINOLOJIA.

ASANTE
 
Hasara, Tangazo nimeliona CNN ni zuri sana kwa mawazo yangu kwani huwezi kuweka kila kitu kwa muda wa dakika moja. Vilevile kitu kikubwa tunahitaji ni jinala Tanzania kujulikana. Watu wengi wanajua Serengeti na Kilimanjaro lakini hawajui Tanzania, hivyo ni muhimu watu kujua nchi yetu. $700,000 ni pesa ndogo sana kwa AD marekani hivyo nashangaa kwa nini unalalamika. Kunawakati unafikia na kuona ni hafadhali kitu fulani kimefanyika na hili swala ni kama hivyo. Hii itasaidia sana kwani hata kama mtu akienda ku google Tanzania atajua zaidi. Hiliswala halina politics ni nzuri na linahitaji pongezi sana
 
Bora hiyo pesa imefanya atleast kitu cha maana may be inaweza kusaidia kuvutia watalii, kwani kuna pesa inayoingia kwenye matumbo ya watu zaidi ya hiyo na impact yake watu wanafanya kufuru kama kujenga mahekalu utafikiri mtu hafikirii kama kuna kifo.
 
hasara nafikiri sio kitu kibaya kilichofanyika na ni kwa faida yetu sote na unapoongelea 700000 kwa miezi sita na ukizingatia ni CNN naona tumepata good deal katika sekta nzima ya utalii,kweli waliofanya hicho kitu at least pesa zetu zimetumika vizuri
 
Muda mwingine unaona hata aibu kumlaamu rais, lakini huu ni upuuzi wa hali ya Juu, what credentials make him believe kwamba if it will apper on CNN then it will boost tourism. Tourism is not like a prouduct that unatangaza then people get in the stores and buy.

I believe kwamba wamesha make studies then watakuja kufinalize their decision after 6 month, kwamba was it faida au hasara. then kama hasara someone need to loose the job sababu that is the dump and stupid why of approching customers in tourims sector.
 
mimi nafikiri wangeingia ubia na makampuni makubwa yanayotangaza utali ambayo yana tv station zao kama vile thomson,travel channel nk
 
Hii obsession ya kutangaza Tanzania sijui imetoka wapi

yaaani inaudhi haswa

Hivi mnafikiri dunia ya leo Foreign investors wajinga kiasi cha kwenda kuinvest kwenye nchi baada ya kuona Tangazo?


Sijawahi kuona Botswana inajitangaza kwenye CNN na mamabo yao ni mazuri tuu

Kma kuna Good governance na hakuna ujinga ujinga kama wa BUZWAGI na mengineo ma investor watakuja tuu lakini sio kuspend ma bilioni kwenye CNN huku hospitali zetu hazina dawa wala umeme


halafu na wengine humu ambao mnaonekana wasomi wazuri na mlio na hekima za kutosha tuu hapa JF wanashabikia ujinga huu

I cant believe this sh*t lakini ndio hivyo
 
Hii obsession ya kutangaza Tanzania sijui imetoka wapi

yaaani inaudhi haswa

Hivi mnafikiri dunia ya leo Foreign investors wajinga kiasi cha kwenda kuinvest kwenye nchi baada ya kuona Tangazo?


Sijawahi kuona Botswana inajitangaza kwenye CNN na mamabo yao ni mazuri tuu

Kma kuna Good governance na hakuna ujinga ujinga kama wa BUZWAGI na mengineo ma investor watakuja tuu lakini sio kuspend ma bilioni kwenye CNN huku hospitali zetu hazina dawa wala umeme


halafu na wengine humu ambao mnaonekana wasomi wazuri na mlio na hekima za kutosha tuu hapa JF wanashabikia ujinga huu

I cant believe this sh*t lakini ndio hivyo

Siamini macho yangu!!!!!!!!
 
NAOMBA MSAADA, KUNA MTU NIMESIKIA AKISEMA, "JAMANI MBONA TUMECHEMSHA? TUNAMLENGA MTALII WA NCHI GANI KUTANGAZA CNN INTENATIONAL AMBAYO HAIONEKANI MAREKANI? AU TUNATAKA KUJIONA WENYEWE HAPA NYUMBANI KWA KUWAIGA JAMAA WA KENYA?"... Kwa bahati mbaya sana sijaliona hilo Tangazo, naomba nisaidiwe, je, ni kweli halionekani US?
 
Hivi kuna njia ya kutangaza bure kama kwenye youtube? Wangetuomba watu wa marketing tuwasaidie kutengeneza tangazo ambalo ni funny, right to the point, na linachukua kama dakika 3 tu hivi halafu unaliweka youtube...in few days CNN na vyombo vingine vya habari will pick it up kwani litakuwa linaonekana na watu wengi zaidi kuliko CNN...
 
kutangaza katika TV ya CNN niwazo zuri lakini pia kuna TV kama ABC CHANEL 7 ambayo kuna kipindi cha OPHRA ndani kinacho angaliwa na zaidi ya watazamaji milioni mia moja duniapia ni TV ya bure siyo lazima kuwa na CABLE

kuangalia kila mtu anaweza kuangalia televisoin ya CNN watu wengi marekani awaangalii wanasema ni ya serekali , unajua tena TVT Dar, sasa jamani hata kuweka tovuti tu imeshindikana basi. pia kwanini wametumia logo, CNN marekani inaangaliwa kwenye center za wazee, hospital, shelters,

sasa kwenye CNN kuna CNN headlines, international, local, techinology, tourism, na nyinginene nyingi, sasa tangazo la Tanzania kwa lakini 750,000 hipesa nikidogo sana , hajapewa katika kipindi kizuri ambacho watu wengi wanaangalia , jamani umeshaona tangazo la CNN KWA BEI HIYO KAMA SIYO BOYA KWA MUDA WA MIEZI SITA ni nini?.

COMMON SENSE. wa bongo..
 
NAOMBA MSAADA, KUNA MTU NIMESIKIA AKISEMA, "JAMANI MBONA TUMECHEMSHA? TUNAMLENGA MTALII WA NCHI GANI KUTANGAZA CNN INTENATIONAL AMBAYO HAIONEKANI MAREKANI? AU TUNATAKA KUJIONA WENYEWE HAPA NYUMBANI KWA KUWAIGA JAMAA WA KENYA?"... Kwa bahati mbaya sana sijaliona hilo Tangazo, naomba nisaidiwe, je, ni kweli halionekani US?

Kwani kuna tofauti kati ya CNN and CNN International? All along najua kuwa ni kitu kimoja, na kwamba sometimes CNN inaitwa CNN International kwa sababu repetition ya habari zake ili ku-satisfy different time zones coverage all around the World. I could be wrong!

Anyway, tangazo mimi nimeliona. Nililiona last week katika kipindi cha Robin&Company mida ya asubuhi wakati najiandaa kwenda kupiga box. Kuhusu suala la kuiga Wakenya, I think that is ridiculous. Kama bwana Koba alivyosema, tunachofanya kinaitwa marketing. Kila nchi duniani; ambayo ina amini ina something good to offer to foreigners in exchange for monetary value, service and/or recognition; inajitangaza in one way or another. Kwa hiyo tangazo la nchi yetu ni bara bara kabisa. In fact tumechelewa mno...tulitakiwa tuanze kufanya hii kitu a decade ago.
 
Advantages of Television Advertising
Some advantages of television advertising include the following:
• Television reaches very large audiences - usually much larger than the audience your local newspaper reaches, and it does so during a short period of time.
• Since there are fewer television stations than radio stations in a given area, each TV audience is divided into much larger segments, which enables you to reach a larger, yet, more diverse audience.
• It has the ability to convey your message with sight, sound and motion, and can give a product or service instant validity and prominence.
• You can easily reach targeted audiences. Children can be reached during cartoon programming, housewives during the afternoon soap operas, and insomniacs after midnight.


Disadvantages of Television Advertising
• When you advertise on TV, your commercial is not only competing with others, it is also competing with the viewer's environment as well.
• Even if your commercial is being aired, viewers may never see it unless it is intrusive enough to capture their attention.
• A minimum amount of airtime provides limited length of exposure and ad clutter.
• The message comes and goes, and that's it! Unless you buy additional time, the viewer doesn't see your commercial again.
• Multiple exposures are required to achieve message retention and consumer action. If you don't reach your viewer at least 5-7 times, you are just throwing money away.
• No station loyalty; Viewers have little or no loyalty to the station itself - especially since cable can bring dozens of viewing alternatives into the home. For example, viewers will watch a given channel for a program they know will be aired at a specific time. If a football game, popular movie or some other preferred form of entertainment appears on another channel, the viewer will not hesitate to switch channels without leaving the couch.
• During a commercial break the viewer may choose to get a snack, go to the bathroom or have a conversation about whatever they were just watching.
• Because of a larger "area of dominant influence," the relative cost will be higher - both the terms of airtime and production.
 
Iyo Figure Msishangae I Was Once Involved In Drafting A Budget For Some Ads.to Flight An Ad Via Cnn Is Expensive Mind You Wanacharge Per Second Ingawa Msisahau Utamaduni Wa Ten Percent Kwa Watz Uko Pale Pale.idea Ya Kujitangaza Imetulia Na Kumbuka Huu Ni Mwanzo Tuu So Lazima Tuboronge Then Bit By Bit Tutafika Tunapotaka Kufika.angalau Iyo Fedha Imetumika Kwa Maslai Ya Umma.
 
Mwakasege Hayo Matangazo Ni Maalumu Kwa Watu Wa Kimataifa Mtu Wa Kule Mugumu Tabora Hana Muda Na Cnn Wala Bbc World , Kwahiyo Tunapojiingiza Katika Ccn Na Bbc Tujue Tunashindanisha Matangazo Yetu Na Nchi Zingine Zenye Masilahi Hayo Hayo Kwahiyo Lazima Tukubali Kuwekeza Pesa Nyingi Katika Kutangaza Utalii Au Kitu Chochote Kile Ambacho Tunajua Kina Faida Kwa Masilahi Yetu

Lakini Tusisahau Kuendeleza Zile Jamii Zinazokaa Karibu Na Maeneo Husika Ili Kuleta Usawa Na Changamoto Ya Kimaendeleo

Ahsante
 
Please this is a good move.

Its called marketing and it is essential. Of course the right policies and infrastructure needs to be in place to attract tourists and investors but this is absolutely essential and if anything we should have more of it.

I can't tell you the number of times i have met people who don't have a clue where Tanzania is and i have to explain by asking them if they know where Kenya is (of which most do) and i say just below Kenya and there like oh ok.

No matter how great your product if you don't market it nobody will know about it.

And yes there is a difference between CNN and CNN International. A big difference.
 
Ni kweli kama wamepewa deal la kutangaza CNN Headlines News kwa miezi sita kwa $750,000 ni bonge ya deal. Kwa mfano tu wakati wa Super Bowl tangazo la sekunde 30 tu lina-cost kati ya $2million na $3million.

Mwanakijiji umesema ukweli kuhusu Youtube kwani ni sehemu ya kujitangaza bure kabisa bila ya gharama zozote. Wazo lingine ni kutengeneza website nzuri itakayokuwa na infomation zote zinazohusiana na utalii Tanzania na Zanzibar.

Hata kwangu EastAfricanTube nimewawekea tangazo la kuitangaza Tanzania na Zanzibar kupitia http://www.eastafricantube.com/media/1349/Tanzania_and_Zanzibar/
 
Status
Not open for further replies.
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom