al1983
JF-Expert Member
- Jun 6, 2009
- 328
- 373
Hili tangazo lina muda mrefu sana na kwa bahati nzuri wenye nalo wana fedha za kuweza kulirusha hewani kwenye TV stations mbalimbali hapa nchini. Huwa najiuliza halafu nashangaa sana kuona makosa yaliyofanyika hayarekebishwi.
Lile tangazo lina dosari katika kile kipande ambacho yule raia wa kigeni anazungumza. Yule jamaa alikosea kutamka neno "Magodoro" akatamka "MADODORA".
Cha ajabu ni miaka mingi na wao wanaona ni sawa tu liendelee kuwa hivyo, "SHAME"
Hebu sahihisheni tangazo lenu.
Lile tangazo lina dosari katika kile kipande ambacho yule raia wa kigeni anazungumza. Yule jamaa alikosea kutamka neno "Magodoro" akatamka "MADODORA".
Cha ajabu ni miaka mingi na wao wanaona ni sawa tu liendelee kuwa hivyo, "SHAME"
Hebu sahihisheni tangazo lenu.