Mercenary Army
JF-Expert Member
- Jun 2, 2017
- 269
- 603
Wakuu kuna tangazo nmelipata limetolewa na jeshi la zimamoto kupitia kamishna mkuu kuhusu mafunzo, je ni tangazo la kweli tuchangamkie fursa au ni matapeli?
,nilishtuka mapema mkuu nilitaka uhakika kutoka kwenu tuUtapigwa
,Yaani jeshi litumie gmail.com wakati kuna tanpol??
Nafikiri ni muda muafaka polisi cyber unit, kufanya yao.
Everyday is Saturday...............................
nilishtuka mapema sana aseeKuna mtu katuma hayo Maombi ghafla anapigiwa simu anaambiwa atume ela kwenye Namba Simu elf 20,000 kwa ajili ya kupata fomu jamaa akashtuka Kama hawa ni wezi .
Mwombaji awe tayari kuhudhuri.....badala ya kuhudhuria Spelling errors kama hizi nakuambia ndugu yangu hapo hakuna kazi %