Katavi
Platinum Member
- Aug 31, 2009
- 41,983
- 12,700
Ni mabasi ya kisasa ambayo ni " AUTOMATIC" kwa kila kitu,
endapo kuna ajali linasimama automatically abiria mnashuka
halafu linaenda hadi panapo tukio linaanguka au kugongana
na gari jingine likiwa tupu. Karibuni sana wateja ili kuondoa vifo vitokanavyo na ajali.
endapo kuna ajali linasimama automatically abiria mnashuka
halafu linaenda hadi panapo tukio linaanguka au kugongana
na gari jingine likiwa tupu. Karibuni sana wateja ili kuondoa vifo vitokanavyo na ajali.