Tangazo la kuitwa kwenye usaili secretarieti ya ajira (NHIF)

Mr.Junior

JF-Expert Member
Sep 8, 2013
11,774
9,966
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya “National Health Insuarance Fund” (NHIF) inapenda kuwataarifu watanzania wote walioomba kazi zilizokuwa zimetangazwa kwa niaba ya Mfuko huo kuwa, inatarajia kuendesha usaili na hatimaye kuwapangia vituo vya kazi waombaji wote watakaofaulu usaili huo. orodha ya majina ya wanaoitwa kwenye usaili yanapatikana kwenye tovuti ya Sekretarieti ya Ajira www.ajira.go.tz
 

Attachments

  • TANGAZO NHIF FINAL..pdf
    1.3 MB · Views: 325
Hah
Ni tabia ya kuita watu wengi hivyo ni wa kipuuzi sana... Nini maana ya shotlisting?.... Nini maana ya application, basi msiwe mnaomba Cv za watu bali mseme wale wote wenye degree ya Law tukutaneni uwanja wa Taifa katika usahili
Hahaaaaaaa
 
Back
Top Bottom