Mr.Junior
JF-Expert Member
- Sep 8, 2013
- 11,774
- 9,966
Mkurugenzi wa Manispaa ya Kigamboni anapenda kuwataarifu waombaji kazi kuwa, usaili wa kuandika unatarajiwa kufanyika kuanzia tarehe 29-30 Septemba, 2017 katika Chuo cha
Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere - Kivukoni
Kuona Orodha ya Majina ya waombaji kazi wanaoitwa kwenye usaili tembelea website ya Sekretarieti ya Ajira www.ajira.go.tz au Tovuti ya Manispaa ya Kigamboni www.kigambonimc.go.tz
Kumbukumbu ya Mwalimu Nyerere - Kivukoni
Kuona Orodha ya Majina ya waombaji kazi wanaoitwa kwenye usaili tembelea website ya Sekretarieti ya Ajira www.ajira.go.tz au Tovuti ya Manispaa ya Kigamboni www.kigambonimc.go.tz