majorbuyoya
JF-Expert Member
- Apr 1, 2012
- 1,828
- 564
Ndugu wana jamvini, kwa wale waliofanya interview ktk sekretariat ya utumishi nimeona wameita watu kazini na tangazoo wametupia katika tovuti yao ya Utumishi. Ingieni kule kwenye tovuti ya utumishi na muangalie majina yenu.