Tangazo la kuitwa kazini wale waliofanya interview utumishi kuanzia April hadi June

majorbuyoya

JF-Expert Member
Apr 1, 2012
1,828
564
Ndugu wana jamvini, kwa wale waliofanya interview ktk sekretariat ya utumishi nimeona wameita watu kazini na tangazoo wametupia katika tovuti yao ya Utumishi. Ingieni kule kwenye tovuti ya utumishi na muangalie majina yenu.
 
hongereni mliopata kazi hizi...... lkn kama umepata visivyo halali hiyo dhambi inakufuata huko unakoelekea... hakika najiapiza...toooooo.... nimetema mate chini. kama hukuchaguliwa kihalali achia ngazi usiende kuripoti.... ukithubutu....... utanitafuta...... nawatakia majukumu mema ya ujenzi wa Taifa
1
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
Kumb. Na. EA.7/96/01/B/151 7Juni, 2012
KUITWA KAZINI
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inapenda kuwaarifu waombaji
kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kuanzia tarehe 18 hadi 21 Aprili, 2012 na
23 hadi 24 Aprili, 27 hadi 28 Aprili, 2012 2012 na 14 hadi 18 Mei, 2012 kuwa
walioorodheshwa katika tangazo hili wamefaulu usaili na wanatakiwa kuripoti kwa
Mwajiri kama ilivyoonyeshwa katika tangazo hili. Aidha, wanatakiwa kuripoti katika
vituo vyao vipya katika muda ambao umeainishwa katika barua zao za kupangiwa
vituo vya kazi wakiwa na vyeti halisi (Originals) vya masomo kuanzia kidato cha nne
na kuendelea ili vihakikiwe na mwajiri kabla ya kupewa barua ya ajira.
Barua za kuwapangia vituo vya kazi zimetumwa kupitia anuani zao.
Aidha, wale ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili
watambue kuwa maombi yao hayakufanikiwa na wasisite kuomba mara nafasi za
kazi zitakapotangazwa tena.
NB: Tangazo hili linapatikana katika tovuti zifuatazo:
PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT - PSRS, Public Service Management na PMORALG - Home -
Na. MAMLAKA YA
AJIRA
TAALUMA/KADA MAJINA YA WANAOITWA
KAZINI
1. S EKRETARIETI YA
MAADILI YA
VIONGOZI WA
UMMA
RECORDS
MANAGEMENT
ASSISTANT II
1. MARIA MSHARE
2. HALMSHAURI YA
WILAYA YA
RUANGWA
WARD EXECUTIVE
OFFICER III
1. SIMON MGOWOLE
2. FURAHA MORIS
3. MASUNGA SALIDA
2
Na.
MAMLAKA YA AJIRA
TAALUMA/KADA
MAJINA YA WANAOITWA KAZINI
4. JONAS MUHOJA
5. FRANK A. MHAGAMA
6. JAFFAR M. KOTOJO
TRADE OFFICER II
1. FRANK BENSON KIBIKA
VILLAGE EXECUTIVE OFFICER III
1. HILDA NESTORY IRAMU
2. SHADHILY INNOCENT MSUNGU
3. RENALDA MBILINYI
4. OSWARD NKARAMA
5. THIEM R. KOMBA
6. MAGRETH MLIMBILA
7. ASIA TWAHA
8. ANTIA EDWIN
9. MAUA ISMAIL
ASSISTANT COMMUNITY DEVELOPMENT OFFICER II
1. MELEJI MIBAKU KURESOI
2. KISABO MICHAEL RUBIRYA
3. VAILETH NGESI
4. MVEKE PETER
5. CHARLES JASIAS KIGAHE
6. JALALA MWINYI JALALA
CARTOGRAPHER II
1. FRIDAY KIBONA
2. NGOLLO SHENYE LUHUNGO
PERSONAL SECRETARY III
1. LIGHTNESS T. SHAYO
2. AURELIA M. MONGI
GAMES AND SPORTS OFFICER II
1. GRACE RICARD BURATHA
RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT II
1. TUNU TAMBALO
2. SAUMU ABDALLAH
3. ZAINAB R. ISSA
4. SHUFAA DADI
5. TATU HEMED
6. HABIBA RAMADHANI
NUTRITION OFFICER II
1. MARY THOMAS LYIMU
FOREST OFFICER II
1. FELISTA BONIPHACE
OFFICE ASSISTANT
1. MARIAM L. MATANDA
3.
HALMSHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA
QUANTITY SURVEYOR II
1. HAMIDU SHAKURU NGILILEA
WARD EXECUTIVE OFFICER II
1. AMOS TUGARA
2. SHADRACK S. KAGANGA
HYDROLOGIST II
1. HASSAN MAALIM
3
Na.
MAMLAKA YA AJIRA
TAALUMA/KADA
MAJINA YA WANAOITWA KAZINI
FISHERIES ASSISTANT II
1. AUGUSTINO EDWARD KAZIMOTO
ASSISTANT LAND OFFICER
1. DANIEL BHOKE
2. SHABANI HAMISI
FOREST ASSISTANT II
1. EVANSI POLIN
2. ROBIN PIASON
3. ACASALI MASSARO
BEEKEEPING ASSISTANT II
1. RICHARD ENOS GOMBE
2. RICHARD ALEX
VALUER II
1. KARENGA MWESIGWA
WATER ENGINEER II
1. HAMIS MAIGE
ASSISTANT COMMUNITY DEVELOPMENT OFFICER II
1. LAURENT MARTIN MSAKAMBA
VILLAGE EXECUTIVE OFFICER III
1. MARTIN MABULA KILAGO
2. MOHAMED A. NIVAKO
3. WILFRED M. EZRA
4. THEONESTINA MATANDA
5. TERESIA KOMBA
6. ISAYA KITUNGWA
7. HENRY MTIBIHINYULA
8. MAJUTO UNGULU
9. DIMOSO KOMBA
NUTRITION OFFICER II
1. ZUBEDA MAHENGE
FOREST OFFICER II
1. PAITON ALMACHIOS
CARTOGRAPHY II
1. AMINU ALLY
2. RACHEL NGOLO
LAND SURVEYOR II
1. RASHID MGAMBO
RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT II
1. ASHURA R. LUSHAKA
4.
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU
STATISTICIAN II
1. LEOKADIA A. MTEY
2. HELLEN MTOVE
3. KALISTO J. LUGOME
4. EVARIST AJEM
5. ELIAS LUZARIA
6. BASIKE MTELEKA
7. ERIC B. LUALUA
4
Na.
MAMLAKA YA AJIRA
TAALUMA/KADA
MAJINA YA WANAOITWA KAZINI
8. NGING’OYA KIPUYO
9. FESTO A. MWEMUTSI
10. COSMAS KAITAN
11. JULIUS MKUMBO
12. SOPHIA K. MNYANYI
13. FADHILI MTENGELA
14. IMANI ANYIMIKE
15. MARY AUGUST
SENIOR MONITORING AND EVALUATION OFFICER II
1. AGGREY KINASHA HERMAN
ACCOUNTS ASSISTANT
1. MAGANGA JAMES
RECEPTIONIST
1. RAYA MIKIDADI
5.
KATIBU MKUU WIZARA YA NISHATI NA MADINI
ENERGY ENGINEER
1. SALMA BAKARI
MINING TECHNICIAN
1. SOLOMON AGREY
LAND SURVEYOR II
1. AKWILA SIMON
6.
KATIBU TAWALA MKOA WA KILIMANJARO
ASSISTANT ACCOUNTANT
1. EDWIN S. NYAKECHI
PERSONAL SECRETARY III
1. VERONICA A. JIMISHA
7.
KATIBU
TUME YA MIPANGO
PERSONAL SECRETARY III
1. JUDITH MBUKI
2. BALEKI KULWA
3. FELISTER DAUD
8.
TANZANIA PUBLIC SERVICE COLLEGE (TPSC)
ASSISTANT LECTURER (ICT)
1. FELICIAN S. M. BUNDALLA
ASSISTANT LECTURER (EDUCATION ADMINISTRATION)
1. GRACE M. MUSHI
ASSISTANT LECTURER – LINGUISTIC (SWAHILI AND ENGLISH)
1. HAMIS AMAN
ASSISTANT LECTURER (FINANCE/ACCOUNTING)
2. DIONYSIUM JOSEPH
ASSISTANT LECTURER (ECONOMICS/PROJECT MANAGEMENT)
1. AMINA CHIVI
TUTOR I (ICT)
1. LLOYO KAAYA LOTH
9.
TANZANIA METEOROLOGICAL
LIBRARIAN
1. SALUM TAWAN
METEOLOGIST TRAINEE
1. PETER ENOS
5
Na.
MAMLAKA YA AJIRA
TAALUMA/KADA
MAJINA YA WANAOITWA KAZINI
AGENCY (TMA)
2. MOHAMED HAMISI MOHAMED
ENGINEER TELECOMMUNICATION
1. BENEDICTO NTIBAYIZI
10.
TANZANIA INSTITUTE OF EDUCATION (TIE)
CURRICULUM COORDINATOR (BUSINESS STUDIES)
1. SHABANI HAMID A. SAMATA
2. SEBASTIAN STANSLAUS
ASSISTANT ACCOUNTANT
1. ELIAS C. IRAMBE
SENIOR OFFICE ASSISTANT
1. MWAJABU MSANGI
PRINCIPAL CURRICULUM COORDINATOR (MATHEMATICS)
1. PETER SAFIEL MAYAR
11.
TANZANIA FOOD AND NUTRITION CENTRE
(TFNC)
TELEPHONE OPERATOR II
1. PRISCA SEBASTIAN
RESEARCH OFFICER I ECONOMICS
1. SAMSON NDIMANGA
12.
INSTITUTE OF SOCIAL WORK (ISW)
ASSISTANT LECTURER – HUMAN RESOURCES MANAGEMENT
1. MARIAM K. H. CHAUREMBO
ASSISTANT LECTURER – SOCIAL WORK
1. LEAH NIELSEN MWAISANGO
PERSON SECRETARY I
1. LILIACIA MELKIZEDECK
13.
COLLEGE OF BUSINESS EDUCATION (CBE)
ASSISTANT LECTURER (DEVELOPMENT STUDIES)
1. GODFREY BUKAGILE
PRINCIPAL ACADEMIC OFFICER I
1. VERONICA S. KAHANGWA
ACADEMIC OFFICER I
1. JAMARY MURSHID
ACCOUNTS ASSISTANT I
1. IDD NDAKI
PERSONAL SECRETARY II
1. REHEMA BWELA
14.
DAR ES SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY
PRINCIPAL TECHNICIAN II
1. ABDULKARIM ALFAN MCHOMVU
ARTISAN II PLUMBER
1. ODILO WILLIAM KAPONDO
6
Na.
MAMLAKA YA AJIRA
TAALUMA/KADA
MAJINA YA WANAOITWA KAZINI
(DIT)
PRINCIPAL INSTRUCTOR (CIVIL ENGINEERING)
1. WOLTA EVARIST SHIYO
SENIOR SUPPLIES ASSISTANT I
1. DAMAS R. MUSHI
15.
AGRICULTURAL SEED AGENCY (ASA)
OFFICE ASSISTANT
1. PLASIDIUS G. MKULU
ASSISTANT SUPPLIES OFFICER
1. RASHID A. JARUMANI
ASSISTANT ACCOUNTANT
1. DERICK DANIEL TOSIRI
2. WEREMA K. CHACHA
3. JANE JAMESON KABAGE
16.
KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
SUPPLIES OFFICER II
1. MOHAMED HASSAN
ASSISTANT SUPPLIES OFFICER
1. THOMAS MASABURI
PERSONAL SECRETARY III
1. RADHIA M. SAID
2. NEEMA MZINYANGWA
OFFICE ASSISTANT II
1. FESTO FILBERT MBIRO
17.
EXPORT PROCESSING ZONES AUTHORITY (EPZA)
HUMAN RESOURCES OFFICER II
1. NEEMA R. MATAGI
INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT
OFFICER II
1. PATRICIA MORIS BURERE
SENIOR INTERNAL AUDITOR II
1. YUSUPH MBELWA
RESEARCH AND PLANNING OFFICER II
1. DONALD MIZAMBWA
2. HIJA RAPHAEL
PROCUREMENT
OFFICER II
1. WILLIAM M. MSOFE
SENIOR PUBLIC RELATIONS OFFICER II
1. FELIX HAULE
PERSONAL SECRETARY II
1. REHEMA BARIKIEL MMBAGA
18.
TANZANIA FOOD AND DRUG AUTHORITY (TFDA)
DRUG REGISTRATION OFFICER
1. RICHARD OK KOSONOGO
FOOD INSPECTOR
1. SALMA A. MHANDO
QUALITY ASSURANCE OFFICER
1. GLORY EMMANUEL SIAKO
DRUG INSPECTOR
1. ENGELBERT BILASHOBOKA MBEKENGA
RECEPTIONISTS
1. SHINA JOHN
7
Na.
MAMLAKA YA AJIRA
TAALUMA/KADA
MAJINA YA WANAOITWA KAZINI
19.
KATIBU MKUU WIZARA YA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA
COOPERATIVE OFFICER II
1. JUMA JOSEPH MATAYI
2. JEREMIAH BONIFACE
3. BONIFACE KABELO
4. ONESMO MWAISANGA
5. HERMENEGILD HERMAN
6. PETRONILA JOHN SHIRIMA
7. SIFUELY LYAMUYA
8. EVALINE MACHA
9. REVOCATUS NYAGILO
10. DENIS NGURUSE
11. SPESDOMITILA NYONI
12. ALBERT BENSON
13. GODFREY RWEHUMBIZA
14. ARON IBRAHIM
15. EMMA C. MOSHI
16. CHITINKA JOSEPH
20.
NATIONAL BOARD OF ACCOUNTANTS AND AUDITORS (NBAA)
EDUCATION AND EXAMINATION OFFICER III
1. IBRAHIM MAGAMBO ERNEST
SENIOR PROCUREMENT OFFICER
1. FAIZA MUSSA
SENIOR LIBRARY ASSISTANT II
1. LUCY B. MWALUPANGA
EXECUTIVE ASSISTANT OFFICER III
1. EVELYNE JAMES MCHARO
OFFICE ASSISTANT II
1. YUSUPH LEMA
21.
KATIBU MKUU WIZARA YA KAZI
LABOUR OFFICER II
1. RISTON MALINGUMU
2. EMANUEL R. MWETA
3. PASKAL B. KAPINGA
4. EVA BALTAZARY MUSHI
5. GERALD GEORGE
6. NEEMA DANIEL
7. DAUD M. CHUNGA
8. NADHIRU OMARY
9. PAMELA SHIRLEY SWAI
10. BUPE KIBONA
22.
NATIONAL BUREAU OF STATISTICS (NBS)
TRANSPORT OFFICER
1. BARAKA RAMADHANI KAGHOMA
8
Na.
MAMLAKA YA AJIRA
TAALUMA/KADA
MAJINA YA WANAOITWA KAZINI
23.
GOVERNMENT CHEMIST LABORATORY AGENCY
(GCLA)
CHEMICAL LABORATORY TECHNOLOGIST II
1. MSAFIRI SAMWEL
24.
KATIBU TAWALA MKOA WA KIGOMA
RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT II
1. SUNIKA ABDUL
OFFICE ASSISTANT
1. RODRICK SAMWEL
25.
KATIBU TAWALA MKOA WA
DAR ES SALAAM
RECEPTIONIST
1. HUSNA KANIKI
26.
MOSHI UNIVERSITY COLLEGE OF COOPERATIVE AND BUSINESS STUDIES (MUCCoBS)
ESTATE MANAGEMENT AND ENVIRONMENT OFFICER I
1. JANET DAVID
ASSISTANT LECTURER (RURAL DEVELOPMENT)
1. RASHID A. CHIKOYO
2. PAULINE PAUL
ASSISTANT TECHNOLOGIST I (LABORATORY)
1. DEUSDEDITH P. MAKINGI
SENIOR ACCOUNTANT
1. SWALEHE KIBWANA
PERSONAL SECRETARY GRADE I
1. VINAH MASHAO KATHURIMA
2. JANE KIMARO
DRIVER
1. EVANCE SIMON YAIRO
LEGAL OFFICER
1. HASSAN S. HERITH
ACCOUNTANT I
1. NJAMA ALLY
ACCOUNTANT II
1. BAKARI A. SENVUA
PROCUREMENT OFFICER II
1. STEPHEN ALEXANDER MARENGE
27.
KIBAHA EDUCATION CENTRE (KEC)
EDUCATION OFFICER
(COMMERCE AND
ACCOUNTANCY)
1. AMOS DAUD
EDUCATION OFFICER (BIOLOGY AND CHEMISTRY)
1. DEODAT JOSEPH
TEACHER GRADE II
1. EDIMUND CALIST KILEO
2. RESTITUTA KIGOKORA
LEGAL OFFICER
1.LUTIGER CHAMICHA HAULE
9
Na.
MAMLAKA YA AJIRA
TAALUMA/KADA
MAJINA YA WANAOITWA KAZINI
PERSONAL SECRETARY
1. REHEMA BIGGE
OFFICE ATTENDANT
1. JACKLINE KAPINGA
SECURITY GUARD
1. BENJAMIN D. FATAKI
COOK
1. BAKARI MOHAMED MLAGILO
2. CECILIA PASCHAL MLAMTULU
3. EPHANIA THOMAS MAISHE
ASSISTANT ACCOUNTANT
1. NEEMA NYAONGE
2. PHILLIP PHILIBERT ITANISA
COMMUNITY DEVELOPMENT OFFICER
1. SIMON M. KIONDO
TECHNICIAN II (CIVIL)
1. HASSAN MNANDALA
STATISTICIAN II
1. VALENTINE VEDASTO
2. AZIZ MHEHE
RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT II
1. NAIMA AHMAD
MARKETING OFFICER
1. DIONIS DOMINICK MUSSERA
PHYSIOTHERAPIST II
1. AMARINE LEONCE SHAYO
MEDICAL OFFICER
1. DR. NTEVONA S. MTERA
NURSING OFFICER
1. GETRUDE NAPHTALI
2. PREDICANDA M. SIMTOWE
PUBLIC HEALTH NURSE ‘B’ II
1. DORIS SAHALI
2. LUCY E. TENDA
3. KURUTHUM SALUM SENGA
LIBRARY ASSISTANT II
1. DINNA DISMAS MBAWALA
X. M. Daudi
KATIBU
 
Thanks man, haya sasa asiye na mwana aeleke jiwe, tuna furaha na kukupongezeni kwa kupata kazi, pamoja majaaliwa na sie twasubiri zamu na rizki zetu wakati ukifika. Good luck
 
mmteule, umefanya jambo la maana kuweka hayo matokeo kabisa, nilikuwa nataka niyadownload ila nashukuru kwa kuyaweka.
 
hureeeeeeeeeee!!!!!!!!!!!!!. hongereni thana ndugu mlioitwa na therikali kuitumikia tandhania yetu.





ombi langu kwa wale waliobahatika warudi jamvini na kushukuruwadau pia wathithite kutupatia mbinu dha mafanikio yao ili wadau walioko mchakatoni wadhitumie. i hope we belong to the thame Dady.
 
hongereni mliopata kazi hizi...... lkn kama umepata visivyo halali hiyo dhambi inakufuata huko unakoelekea... hakika najiapiza...toooooo.... nimetema mate chini. kama hukuchaguliwa kihalali achia ngazi usiende kuripoti.... ukithubutu....... utanitafuta...... nawatakia majukumu mema ya ujenzi wa Taifa
1
SEKRETARIETI YA AJIRA KATIKA UTUMISHI WA UMMA
Kumb. Na. EA.7/96/01/B/151 7Juni, 2012
KUITWA KAZINI
Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma inapenda kuwaarifu waombaji
kazi wa nafasi mbalimbali waliofanya usaili kuanzia tarehe 18 hadi 21 Aprili, 2012 na
23 hadi 24 Aprili, 27 hadi 28 Aprili, 2012 2012 na 14 hadi 18 Mei, 2012 kuwa
walioorodheshwa katika tangazo hili wamefaulu usaili na wanatakiwa kuripoti kwa
Mwajiri kama ilivyoonyeshwa katika tangazo hili. Aidha, wanatakiwa kuripoti katika
vituo vyao vipya katika muda ambao umeainishwa katika barua zao za kupangiwa
vituo vya kazi wakiwa na vyeti halisi (Originals) vya masomo kuanzia kidato cha nne
na kuendelea ili vihakikiwe na mwajiri kabla ya kupewa barua ya ajira.
Barua za kuwapangia vituo vya kazi zimetumwa kupitia anuani zao.
Aidha, wale ambao majina yao hayakuonekana katika tangazo hili
watambue kuwa maombi yao hayakufanikiwa na wasisite kuomba mara nafasi za
kazi zitakapotangazwa tena.
NB: Tangazo hili linapatikana katika tovuti zifuatazo:
PUBLIC SERVICE RECRUITMENT SECRETARIAT - PSRS, Public Service Management na PMORALG - Home -
Na. MAMLAKA YA
AJIRA
TAALUMA/KADA MAJINA YA WANAOITWA
KAZINI
1. S EKRETARIETI YA
MAADILI YA
VIONGOZI WA
UMMA
RECORDS
MANAGEMENT
ASSISTANT II
1. MARIA MSHARE
2. HALMSHAURI YA
WILAYA YA
RUANGWA
WARD EXECUTIVE
OFFICER III
1. SIMON MGOWOLE
2. FURAHA MORIS
3. MASUNGA SALIDA
2
Na.
MAMLAKA YA AJIRA
TAALUMA/KADA
MAJINA YA WANAOITWA KAZINI
4. JONAS MUHOJA
5. FRANK A. MHAGAMA
6. JAFFAR M. KOTOJO
TRADE OFFICER II
1. FRANK BENSON KIBIKA
VILLAGE EXECUTIVE OFFICER III
1. HILDA NESTORY IRAMU
2. SHADHILY INNOCENT MSUNGU
3. RENALDA MBILINYI
4. OSWARD NKARAMA
5. THIEM R. KOMBA
6. MAGRETH MLIMBILA
7. ASIA TWAHA
8. ANTIA EDWIN
9. MAUA ISMAIL
ASSISTANT COMMUNITY DEVELOPMENT OFFICER II
1. MELEJI MIBAKU KURESOI
2. KISABO MICHAEL RUBIRYA
3. VAILETH NGESI
4. MVEKE PETER
5. CHARLES JASIAS KIGAHE
6. JALALA MWINYI JALALA
CARTOGRAPHER II
1. FRIDAY KIBONA
2. NGOLLO SHENYE LUHUNGO
PERSONAL SECRETARY III
1. LIGHTNESS T. SHAYO
2. AURELIA M. MONGI
GAMES AND SPORTS OFFICER II
1. GRACE RICARD BURATHA
RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT II
1. TUNU TAMBALO
2. SAUMU ABDALLAH
3. ZAINAB R. ISSA
4. SHUFAA DADI
5. TATU HEMED
6. HABIBA RAMADHANI
NUTRITION OFFICER II
1. MARY THOMAS LYIMU
FOREST OFFICER II
1. FELISTA BONIPHACE
OFFICE ASSISTANT
1. MARIAM L. MATANDA
3.
HALMSHAURI YA WILAYA YA NACHINGWEA
QUANTITY SURVEYOR II
1. HAMIDU SHAKURU NGILILEA
WARD EXECUTIVE OFFICER II
1. AMOS TUGARA
2. SHADRACK S. KAGANGA
HYDROLOGIST II
1. HASSAN MAALIM
3
Na.
MAMLAKA YA AJIRA
TAALUMA/KADA
MAJINA YA WANAOITWA KAZINI
FISHERIES ASSISTANT II
1. AUGUSTINO EDWARD KAZIMOTO
ASSISTANT LAND OFFICER
1. DANIEL BHOKE
2. SHABANI HAMISI
FOREST ASSISTANT II
1. EVANSI POLIN
2. ROBIN PIASON
3. ACASALI MASSARO
BEEKEEPING ASSISTANT II
1. RICHARD ENOS GOMBE
2. RICHARD ALEX
VALUER II
1. KARENGA MWESIGWA
WATER ENGINEER II
1. HAMIS MAIGE
ASSISTANT COMMUNITY DEVELOPMENT OFFICER II
1. LAURENT MARTIN MSAKAMBA
VILLAGE EXECUTIVE OFFICER III
1. MARTIN MABULA KILAGO
2. MOHAMED A. NIVAKO
3. WILFRED M. EZRA
4. THEONESTINA MATANDA
5. TERESIA KOMBA
6. ISAYA KITUNGWA
7. HENRY MTIBIHINYULA
8. MAJUTO UNGULU
9. DIMOSO KOMBA
NUTRITION OFFICER II
1. ZUBEDA MAHENGE
FOREST OFFICER II
1. PAITON ALMACHIOS
CARTOGRAPHY II
1. AMINU ALLY
2. RACHEL NGOLO
LAND SURVEYOR II
1. RASHID MGAMBO
RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT II
1. ASHURA R. LUSHAKA
4.
OFISI YA TAIFA YA TAKWIMU
STATISTICIAN II
1. LEOKADIA A. MTEY
2. HELLEN MTOVE
3. KALISTO J. LUGOME
4. EVARIST AJEM
5. ELIAS LUZARIA
6. BASIKE MTELEKA
7. ERIC B. LUALUA
4
Na.
MAMLAKA YA AJIRA
TAALUMA/KADA
MAJINA YA WANAOITWA KAZINI
8. NGING'OYA KIPUYO
9. FESTO A. MWEMUTSI
10. COSMAS KAITAN
11. JULIUS MKUMBO
12. SOPHIA K. MNYANYI
13. FADHILI MTENGELA
14. IMANI ANYIMIKE
15. MARY AUGUST
SENIOR MONITORING AND EVALUATION OFFICER II
1. AGGREY KINASHA HERMAN
ACCOUNTS ASSISTANT
1. MAGANGA JAMES
RECEPTIONIST
1. RAYA MIKIDADI
5.
KATIBU MKUU WIZARA YA NISHATI NA MADINI
ENERGY ENGINEER
1. SALMA BAKARI
MINING TECHNICIAN
1. SOLOMON AGREY
LAND SURVEYOR II
1. AKWILA SIMON
6.
KATIBU TAWALA MKOA WA KILIMANJARO
ASSISTANT ACCOUNTANT
1. EDWIN S. NYAKECHI
PERSONAL SECRETARY III
1. VERONICA A. JIMISHA
7.
KATIBU
TUME YA MIPANGO
PERSONAL SECRETARY III
1. JUDITH MBUKI
2. BALEKI KULWA
3. FELISTER DAUD
8.
TANZANIA PUBLIC SERVICE COLLEGE (TPSC)
ASSISTANT LECTURER (ICT)
1. FELICIAN S. M. BUNDALLA
ASSISTANT LECTURER (EDUCATION ADMINISTRATION)
1. GRACE M. MUSHI
ASSISTANT LECTURER – LINGUISTIC (SWAHILI AND ENGLISH)
1. HAMIS AMAN
ASSISTANT LECTURER (FINANCE/ACCOUNTING)
2. DIONYSIUM JOSEPH
ASSISTANT LECTURER (ECONOMICS/PROJECT MANAGEMENT)
1. AMINA CHIVI
TUTOR I (ICT)
1. LLOYO KAAYA LOTH
9.
TANZANIA METEOROLOGICAL
LIBRARIAN
1. SALUM TAWAN
METEOLOGIST TRAINEE
1. PETER ENOS
5
Na.
MAMLAKA YA AJIRA
TAALUMA/KADA
MAJINA YA WANAOITWA KAZINI
AGENCY (TMA)
2. MOHAMED HAMISI MOHAMED
ENGINEER TELECOMMUNICATION
1. BENEDICTO NTIBAYIZI
10.
TANZANIA INSTITUTE OF EDUCATION (TIE)
CURRICULUM COORDINATOR (BUSINESS STUDIES)
1. SHABANI HAMID A. SAMATA
2. SEBASTIAN STANSLAUS
ASSISTANT ACCOUNTANT
1. ELIAS C. IRAMBE
SENIOR OFFICE ASSISTANT
1. MWAJABU MSANGI
PRINCIPAL CURRICULUM COORDINATOR (MATHEMATICS)
1. PETER SAFIEL MAYAR
11.
TANZANIA FOOD AND NUTRITION CENTRE
(TFNC)
TELEPHONE OPERATOR II
1. PRISCA SEBASTIAN
RESEARCH OFFICER I ECONOMICS
1. SAMSON NDIMANGA
12.
INSTITUTE OF SOCIAL WORK (ISW)
ASSISTANT LECTURER – HUMAN RESOURCES MANAGEMENT
1. MARIAM K. H. CHAUREMBO
ASSISTANT LECTURER – SOCIAL WORK
1. LEAH NIELSEN MWAISANGO
PERSON SECRETARY I
1. LILIACIA MELKIZEDECK
13.
COLLEGE OF BUSINESS EDUCATION (CBE)
ASSISTANT LECTURER (DEVELOPMENT STUDIES)
1. GODFREY BUKAGILE
PRINCIPAL ACADEMIC OFFICER I
1. VERONICA S. KAHANGWA
ACADEMIC OFFICER I
1. JAMARY MURSHID
ACCOUNTS ASSISTANT I
1. IDD NDAKI
PERSONAL SECRETARY II
1. REHEMA BWELA
14.
DAR ES SALAAM INSTITUTE OF TECHNOLOGY
PRINCIPAL TECHNICIAN II
1. ABDULKARIM ALFAN MCHOMVU
ARTISAN II PLUMBER
1. ODILO WILLIAM KAPONDO
6
Na.
MAMLAKA YA AJIRA
TAALUMA/KADA
MAJINA YA WANAOITWA KAZINI
(DIT)
PRINCIPAL INSTRUCTOR (CIVIL ENGINEERING)
1. WOLTA EVARIST SHIYO
SENIOR SUPPLIES ASSISTANT I
1. DAMAS R. MUSHI
15.
AGRICULTURAL SEED AGENCY (ASA)
OFFICE ASSISTANT
1. PLASIDIUS G. MKULU
ASSISTANT SUPPLIES OFFICER
1. RASHID A. JARUMANI
ASSISTANT ACCOUNTANT
1. DERICK DANIEL TOSIRI
2. WEREMA K. CHACHA
3. JANE JAMESON KABAGE
16.
KATIBU MKUU WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI
SUPPLIES OFFICER II
1. MOHAMED HASSAN
ASSISTANT SUPPLIES OFFICER
1. THOMAS MASABURI
PERSONAL SECRETARY III
1. RADHIA M. SAID
2. NEEMA MZINYANGWA
OFFICE ASSISTANT II
1. FESTO FILBERT MBIRO
17.
EXPORT PROCESSING ZONES AUTHORITY (EPZA)
HUMAN RESOURCES OFFICER II
1. NEEMA R. MATAGI
INFRASTRUCTURE DEVELOPMENT
OFFICER II
1. PATRICIA MORIS BURERE
SENIOR INTERNAL AUDITOR II
1. YUSUPH MBELWA
RESEARCH AND PLANNING OFFICER II
1. DONALD MIZAMBWA
2. HIJA RAPHAEL
PROCUREMENT
OFFICER II
1. WILLIAM M. MSOFE
SENIOR PUBLIC RELATIONS OFFICER II
1. FELIX HAULE
PERSONAL SECRETARY II
1. REHEMA BARIKIEL MMBAGA
18.
TANZANIA FOOD AND DRUG AUTHORITY (TFDA)
DRUG REGISTRATION OFFICER
1. RICHARD OK KOSONOGO
FOOD INSPECTOR
1. SALMA A. MHANDO
QUALITY ASSURANCE OFFICER
1. GLORY EMMANUEL SIAKO
DRUG INSPECTOR
1. ENGELBERT BILASHOBOKA MBEKENGA
RECEPTIONISTS
1. SHINA JOHN
7
Na.
MAMLAKA YA AJIRA
TAALUMA/KADA
MAJINA YA WANAOITWA KAZINI
19.
KATIBU MKUU WIZARA YA KILIMO CHAKULA NA USHIRIKA
COOPERATIVE OFFICER II
1. JUMA JOSEPH MATAYI
2. JEREMIAH BONIFACE
3. BONIFACE KABELO
4. ONESMO MWAISANGA
5. HERMENEGILD HERMAN
6. PETRONILA JOHN SHIRIMA
7. SIFUELY LYAMUYA
8. EVALINE MACHA
9. REVOCATUS NYAGILO
10. DENIS NGURUSE
11. SPESDOMITILA NYONI
12. ALBERT BENSON
13. GODFREY RWEHUMBIZA
14. ARON IBRAHIM
15. EMMA C. MOSHI
16. CHITINKA JOSEPH
20.
NATIONAL BOARD OF ACCOUNTANTS AND AUDITORS (NBAA)
EDUCATION AND EXAMINATION OFFICER III
1. IBRAHIM MAGAMBO ERNEST
SENIOR PROCUREMENT OFFICER
1. FAIZA MUSSA
SENIOR LIBRARY ASSISTANT II
1. LUCY B. MWALUPANGA
EXECUTIVE ASSISTANT OFFICER III
1. EVELYNE JAMES MCHARO
OFFICE ASSISTANT II
1. YUSUPH LEMA
21.
KATIBU MKUU WIZARA YA KAZI
LABOUR OFFICER II
1. RISTON MALINGUMU
2. EMANUEL R. MWETA
3. PASKAL B. KAPINGA
4. EVA BALTAZARY MUSHI
5. GERALD GEORGE
6. NEEMA DANIEL
7. DAUD M. CHUNGA
8. NADHIRU OMARY
9. PAMELA SHIRLEY SWAI
10. BUPE KIBONA
22.
NATIONAL BUREAU OF STATISTICS (NBS)
TRANSPORT OFFICER
1. BARAKA RAMADHANI KAGHOMA
8
Na.
MAMLAKA YA AJIRA
TAALUMA/KADA
MAJINA YA WANAOITWA KAZINI
23.
GOVERNMENT CHEMIST LABORATORY AGENCY
(GCLA)
CHEMICAL LABORATORY TECHNOLOGIST II
1. MSAFIRI SAMWEL
24.
KATIBU TAWALA MKOA WA KIGOMA
RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT II
1. SUNIKA ABDUL
OFFICE ASSISTANT
1. RODRICK SAMWEL
25.
KATIBU TAWALA MKOA WA
DAR ES SALAAM
RECEPTIONIST
1. HUSNA KANIKI
26.
MOSHI UNIVERSITY COLLEGE OF COOPERATIVE AND BUSINESS STUDIES (MUCCoBS)
ESTATE MANAGEMENT AND ENVIRONMENT OFFICER I
1. JANET DAVID
ASSISTANT LECTURER (RURAL DEVELOPMENT)
1. RASHID A. CHIKOYO
2. PAULINE PAUL
ASSISTANT TECHNOLOGIST I (LABORATORY)
1. DEUSDEDITH P. MAKINGI
SENIOR ACCOUNTANT
1. SWALEHE KIBWANA
PERSONAL SECRETARY GRADE I
1. VINAH MASHAO KATHURIMA
2. JANE KIMARO
DRIVER
1. EVANCE SIMON YAIRO
LEGAL OFFICER
1. HASSAN S. HERITH
ACCOUNTANT I
1. NJAMA ALLY
ACCOUNTANT II
1. BAKARI A. SENVUA
PROCUREMENT OFFICER II
1. STEPHEN ALEXANDER MARENGE
27.
KIBAHA EDUCATION CENTRE (KEC)
EDUCATION OFFICER
(COMMERCE AND
ACCOUNTANCY)
1. AMOS DAUD
EDUCATION OFFICER (BIOLOGY AND CHEMISTRY)
1. DEODAT JOSEPH
TEACHER GRADE II
1. EDIMUND CALIST KILEO
2. RESTITUTA KIGOKORA
LEGAL OFFICER
1.LUTIGER CHAMICHA HAULE
9
Na.
MAMLAKA YA AJIRA
TAALUMA/KADA
MAJINA YA WANAOITWA KAZINI
PERSONAL SECRETARY
1. REHEMA BIGGE
OFFICE ATTENDANT
1. JACKLINE KAPINGA
SECURITY GUARD
1. BENJAMIN D. FATAKI
COOK
1. BAKARI MOHAMED MLAGILO
2. CECILIA PASCHAL MLAMTULU
3. EPHANIA THOMAS MAISHE
ASSISTANT ACCOUNTANT
1. NEEMA NYAONGE
2. PHILLIP PHILIBERT ITANISA
COMMUNITY DEVELOPMENT OFFICER
1. SIMON M. KIONDO
TECHNICIAN II (CIVIL)
1. HASSAN MNANDALA
STATISTICIAN II
1. VALENTINE VEDASTO
2. AZIZ MHEHE
RECORDS MANAGEMENT ASSISTANT II
1. NAIMA AHMAD
MARKETING OFFICER
1. DIONIS DOMINICK MUSSERA
PHYSIOTHERAPIST II
1. AMARINE LEONCE SHAYO
MEDICAL OFFICER
1. DR. NTEVONA S. MTERA
NURSING OFFICER
1. GETRUDE NAPHTALI
2. PREDICANDA M. SIMTOWE
PUBLIC HEALTH NURSE ‘B' II
1. DORIS SAHALI
2. LUCY E. TENDA
3. KURUTHUM SALUM SENGA
LIBRARY ASSISTANT II
1. DINNA DISMAS MBAWALA
X. M. Daudi
KATIBU

mbona hamna?
 
wazee mbona kwenye website ya Utumishi,ajira wala PMO RALG zisioni?
 
da raha sana cku izi serikalin ndan ya miez miwili 2, kazi unapata..safi sana na hongera zao ngoja 2subir na sisi.
 
Nimemind japo haitanisaidia kitu as majina yashatoka,kwenye WARD EXECUTIVE II ya wilaya ya Nachingwea nilikua mmojawapo wa tuliotwa kwny interview..tangazo lilisema post 13 na interview tukaitwa watu 175,leo nashangaa kuona waliochaguliwa ni watu wawili tu tofaut na tangazo la ajira na interview lilivyokua...
Anyway hongera kwa waliochaguliwa,ngoja niendelee kuapply ingawa UTUMISHI wanakatisha tamaa,kama post 12 wametoa majina mawili,je hiz ambazo tangazo la ajira linaonyesha post 1 au 2,si hawatampanga mtu kabisa,japo interview watakuita ukafanye!
 
Nimemind japo haitanisaidia kitu as majina yashatoka,kwenye WARD EXECUTIVE II ya wilaya ya Nachingwea nilikua mmojawapo wa tuliotwa kwny interview..tangazo lilisema post 13 na interview tukaitwa watu 175,leo nashangaa kuona waliochaguliwa ni watu wawili tu tofaut na tangazo la ajira na interview lilivyokua...
Anyway hongera kwa waliochaguliwa,ngoja niendelee kuapply ingawa UTUMISHI wanakatisha tamaa,kama post 12 wametoa majina mawili,je hiz ambazo tangazo la ajira linaonyesha post 1 au 2,si hawatampanga mtu kabisa,japo interview watakuita ukafanye!

Pole sana dogo!!! Jazbamita yangu inaonyesha umepandwa na jazba!!! Hebu punguza jazba. Ukiona hujaitwa ujue uko under-qualified. Unatakiwa uelewe kuwa kwa tangazo kusema kwamba kuna nafasi 10 za kazi na kisha watu 7 ndio mkaenda katika usaili, haina maana kuwa nyie 7 mtaitwa kazini. Ila inawezeka kati ya nyie 7 kuna ambao hamtafauri usaili na hivyo kupelekea kutokuitwa. Kama uko makini utaona kuwa nafasi za kazi zilizofanyiwa usaili ndani ya miez ya 3,4 na 5; ziko re-advertised!!!
Hiyo maana yake mlioomba mwanzo na kufanyiwa usaili au hamkuitwa kabisa katika usaili, hamna sifa za kuitwa kazini (yaani mko under-qualified au mrifeli usaili), hivyo zinatangazwa tena ili kutafuta the right candites.
Usikasirike dogo, rudi tena shule katafute qualifications za kutosha vinginevyo utaendelea kulalamika.

 
Inawezekana ikawa kweli unayosema,ila nadhani idea ni kucheki alternative way ya kumake money na sio kutegemea ajira tu,as kusoma tena kunahitaji hela nilipe hiyo ada na pia sijajua viwango gani vya kukolifai ndo wanavitaka wao maana kigezo ni e.g degree ya sheria au Public administration with no specified GPA,sasa hata nikiwa na GPA ya tatu wanaweza sema wanatka a 3.5,nikiwa na 3.5 watasema wanataka 3.7 as haiko wazi,kilicho wazi ni kua wanataka said bachelor of which i was and i have mpaka sasa....about interview kweli wao ndo waamuzi wa mwisho,ngoja nijipange upya..ila ahsante kwa ushauri mkuu!
 
Nimemind japo haitanisaidia kitu as majina yashatoka,kwenye WARD EXECUTIVE II ya wilaya ya Nachingwea nilikua mmojawapo wa tuliotwa kwny interview..tangazo lilisema post 13 na interview tukaitwa watu 175,leo nashangaa kuona waliochaguliwa ni watu wawili tu tofaut na tangazo la ajira na interview lilivyokua...
Anyway hongera kwa waliochaguliwa,ngoja niendelee kuapply ingawa UTUMISHI wanakatisha tamaa,kama post 12 wametoa majina mawili,je hiz ambazo tangazo la ajira linaonyesha post 1 au 2,si hawatampanga mtu kabisa,japo interview watakuita ukafanye!

angalia vizuri kaka walioitwa kazini H/wilaya nachingwea kwa maafisa watendaji wa kata ni 12 na miongoni mwa walioitwa ni Lusajo andembwisiye lipo namba nne isije ikawa lako.
 
angalia vizuri kaka walioitwa kazini H/wilaya nachingwea kwa maafisa watendaji wa kata ni 12 na miongoni mwa walioitwa ni Lusajo andembwisiye lipo namba nne isije ikawa lako.

duh, aisee achek fresh na aache lawama kama kweli.
 
angalia vizuri kaka walioitwa kazini H/wilaya nachingwea kwa maafisa watendaji wa kata ni 12 na miongoni mwa walioitwa ni Lusajo andembwisiye lipo namba nne isije ikawa lako.

Aiseee!! Wee ni mtaalam wa kuunganisha majina sijapata kuona!!!
 
Back
Top Bottom