Niache Nteseke
JF-Expert Member
- Apr 29, 2020
- 1,954
- 2,166
Salaam,
Kuna kazi zimetoka siku 2 hizi, zimetokea Wizara ya Afya zikitangaza kada tofauti tofauti, katika kada hizo pia kuna nafasi za madereva (4), lakini wameelezea vigezo na masharti ya kada zote walizoweka lakini hawajaweka maelezo kwa kada ya udereva.
Je, mpaka tangazo hili limeameriwa litoke na kutangazwa kwa wadau, ina maana wahusika wa Wizara hawajaliona hili kosa?
NAWASILISHA.
Kuna kazi zimetoka siku 2 hizi, zimetokea Wizara ya Afya zikitangaza kada tofauti tofauti, katika kada hizo pia kuna nafasi za madereva (4), lakini wameelezea vigezo na masharti ya kada zote walizoweka lakini hawajaweka maelezo kwa kada ya udereva.
Je, mpaka tangazo hili limeameriwa litoke na kutangazwa kwa wadau, ina maana wahusika wa Wizara hawajaliona hili kosa?
NAWASILISHA.