Diesel generator
JF-Expert Member
- Apr 5, 2015
- 706
- 660
Watu wanaoongea hapa ni telecommunication na electronics.
Wakitoa number ya tarakimu 4 ni cband ikiwa tano ni kuHamna hata Kama wangesema hivyo ndio wamechemka kabisaaa Tena porini.Intelsat gani inasetiwa kwa 72 degrees East? itajie wewe mwenye macho unayeona na utueleze Ni KU band au Ni CBand?
Hujui lolote unafikiri ccm hiyo tafuta fundi akifungieHicho ndicho walitakiwa kutangaza Intelsat ipi iko degrees gani East or West Ni CBand au KU band ,transponder zipi na symboll rate zipi.Hawajaweka full details kwenye tangazo ili watu ikifika hiyo June moja tunajisetia wenyewe chap chap
Wengine tuna ma dish ya jack Yale automatic ya kutumia remote control hakuna fundi wa kupanda juu Kama ngedere kuzungusha kwa mikono huku anamuuliza mwenzie vipi signal inashika hapo kaa mbali na Mimi .Mimi sihitaji fundi was Kuset dish any direction natumia remote tu Hadi napata parameters zoteHujui lolote unafikiri ccm hiyo tafuta fundi akifungie
Najaribu kuseti mbona nakwama mkuuWengine tuna ma dish ya jack Yale automatic ya kutumia remote control hakuna fundi wa kupanda juu Kama ngedere kuzungusha kwa mikono huku anamuuliza mwenzie vipi signal inashika hapo kaa mbali na Mimi .Mimi sihitaji fundi was Kuset dish any direction natumia remote tu Hadi napata parameters zote
Hii kitu kwa Tanzania mpaka uwe na futi 8 iliyotulia ,ikiwa na matege baadhi ya station haziingiiKama ni Intelsat 22 (72.1°E) basi wanajiunga na stations za Kenya (nyingi zinatumia Intelsat 22). Ni mtihani tena kwa sisi tunaotumia FTA receivers na dish za 6ft and above.
Kwa walioangalia hilo tangazo, je watahama lini?
Ni FTA receiver dish 6ftWamerudi kingamuzi cha Star times
Natumia 6ft na napata channeli nyingi, mtihani ni kumpata fundi anayejua kazi yake.Hii kitu kwa Tanzania mpaka uwe na futi 8 iliyotulia ,ikiwa na matege baadhi ya station haziingii