Drat
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 966
- 1,068
duh, aisee kama possible nisaidie kujua locations like kijiji au mji gani wamefika nowWalianzaga muda sana hawa jamaa, naona labda ni batch nyengine hii!
duh, aisee kama possible nisaidie kujua locations like kijiji au mji gani wamefika nowWalianzaga muda sana hawa jamaa, naona labda ni batch nyengine hii!
Project inaanza mwezi wa TanoHizi kazi hazijapataga watu tu. Si walishatangazaga mapema sana! Au ndio mpango mwingine wa kupotezeana muda!
eacop@taesa.go.tz .Mwenye email za taesa tafadhali naomba mnisaidie ili nitume ,mie sipo kwenye hiyo mikoa waliyoitaja hapo
Zipo maeneo ya picha ya samaki wanapopiga watu picha. Pia ukifika jengo la ppf plaza mwanza barabara inayoshuka chini upande wa kulia,. kama bado hujaelewa nipigie simu nikuelezee fureshi mpambanaji 0652603278Samahani anae fahamu office za TAESA katika mkoa wa mwanza ziliko anisaidie