FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 36,017
- 40,686
Kwahiyo bado huoni sababu ya mimi kumwambia awe na app ya google photos au kuna lingine labda?picha amezihifadhi kwenye macbook yake na hajasema kama alikuwa na app ya google photos, angekuwa nayo kusingekuwa na haja ya kupost...naamini kuna vitu vingine sensitive zaidi ya hizo picha
Sent using Jamii Forums mobile app