Jamaa alitisha sana na hiyo statement yake.Yaani mkuu aliesaini kaandika kabisa Bregedia Jenerali...
Nani atakuja! Mambo ya kina Lubinga hayo;
"Sadism is inevitable when the situation is alarming"
Mkuu,kutoka kilipo hicho chuo cha jeshi na ilipo ofisi ya sarikali ya mtaa ni hatua chache tuu.huo ni mtego wameuwekaSi apelekwe serikali za mitaa ili mwenye mbuzi achukulie huko?
huyo nimbuzi wangu nilimfanyia tambiko mm na mshana Jr kwahio nyie mleni nichukuwe nyota zenu na nyie mchukuwe balaa zangu
Nimecheka sana lohAfande brigidia nimekuzawadia huyo mbuzi ule siku ya Valentine day na mama brigidia.
Wako mtiifu.
Asante!
Unatakiwa ukalipe miti ya watuKwa nini wasiende mkuu na wakati wamesema mwenye mbuzi akamchukue?
nenda nyie watoto wa isanga mnajifanya watukutu sanakwa nini wasimwachie huyo mbuzi arudi nyunbani wanataka mpaka barua brigidia mimi nimewaachia mtumieni tuu katika kombe la mbuzi...
nenda kamchukue nyie watoto wa isanga co waoga mkuukwa nini wasimwachie huyo mbuzi arudi nyunbani wanataka mpaka barua brigidia mimi nimewaachia mtumieni tuu katika kombe la mbuzi...