babadullah
JF-Expert Member
- Feb 21, 2017
- 508
- 318
Mara baada ya uzinduzi wa bomba la mafuta Tanga, kumeibuka tangazo la nafasi za ajira, tangazo hilo lina ahidi kulipa 18000 kwa Siku kwa kila kichwa. Tangazo hilo limetolewa na watu wanaojiita wasimamizi wa mradi majina yao ni Mr. Mohammed na Mr Hamisi Mkomesheni.
Wameweka namba zao ambazo ni 0743950889, 0769147744, Katika tangazo lao hawakueka anuani wala mahali zilipo office zao zaidi ukipiga simu kuna e-mail wanakutumia utume details zako baada ya hapo, mzinga unaanza.
Mzinga wa kwanza kunipiga ni baada ya kunitumia fomu wakanambia niilipie 4500 ya fomu kwa uchu wa kupata kazi nilionao nikatuma fasts mwenye huyo namba ya voda hapo juu na niliingia gharama za kuscan kitambulisho na fomu nikawatumia mwenye email yao, halafu,nikawapigia nikawaambia nishatuma nini kinafuata wakanambia tutakupigia simu
Wiki iliyopta wakanipigia wakanambia niwatumie size ya buti na ovaroli halafu nitume 17000 yaan gharama ya hivyo vitu nikashtuka sikutuma. Jana nikapata message yao kuwa niwapigie. Leo wahakiki taarifa zangu na waniambie ni lini tu naenda Chongolean kuanzia kazi. Leo mapema nimewapigia wakaniuliza una bima ya afya nikajibu ninayo ila inaisha mwezi ujao, wakanambia tuma 12000 tui-activate iwe ya kudumu sijatuma. Nina doubt na hawa watu kwa nini hawana office, kwanini wanahitaji pesa sana.
Chakushangaza akanambia safari ya Chongolean inaanza ijumaa so tuma fasta, nilipojaribu kumuulza maswali akawa mkali akanambia kuna wenzio wanapiga simu so kata simu.
Swali: Je, hili jambo ni kweli au ni utapeli? Je, serikali halioni hili tangazo kama kweli ni la kitapeli?
Kwa yeyote ajuaye ukweli kuhusu mradi anijuze. Na kama huu ni utapeli basi Mr. Mkomesheni na mwenzio Mungu anawaona na mtanilipa 4500 yangu yaani mtalpa tu hata, Siku ya kiama.
Naomba kuwasilisha
Wameweka namba zao ambazo ni 0743950889, 0769147744, Katika tangazo lao hawakueka anuani wala mahali zilipo office zao zaidi ukipiga simu kuna e-mail wanakutumia utume details zako baada ya hapo, mzinga unaanza.
Mzinga wa kwanza kunipiga ni baada ya kunitumia fomu wakanambia niilipie 4500 ya fomu kwa uchu wa kupata kazi nilionao nikatuma fasts mwenye huyo namba ya voda hapo juu na niliingia gharama za kuscan kitambulisho na fomu nikawatumia mwenye email yao, halafu,nikawapigia nikawaambia nishatuma nini kinafuata wakanambia tutakupigia simu
Wiki iliyopta wakanipigia wakanambia niwatumie size ya buti na ovaroli halafu nitume 17000 yaan gharama ya hivyo vitu nikashtuka sikutuma. Jana nikapata message yao kuwa niwapigie. Leo wahakiki taarifa zangu na waniambie ni lini tu naenda Chongolean kuanzia kazi. Leo mapema nimewapigia wakaniuliza una bima ya afya nikajibu ninayo ila inaisha mwezi ujao, wakanambia tuma 12000 tui-activate iwe ya kudumu sijatuma. Nina doubt na hawa watu kwa nini hawana office, kwanini wanahitaji pesa sana.
Chakushangaza akanambia safari ya Chongolean inaanza ijumaa so tuma fasta, nilipojaribu kumuulza maswali akawa mkali akanambia kuna wenzio wanapiga simu so kata simu.
Swali: Je, hili jambo ni kweli au ni utapeli? Je, serikali halioni hili tangazo kama kweli ni la kitapeli?
Kwa yeyote ajuaye ukweli kuhusu mradi anijuze. Na kama huu ni utapeli basi Mr. Mkomesheni na mwenzio Mungu anawaona na mtanilipa 4500 yangu yaani mtalpa tu hata, Siku ya kiama.
Naomba kuwasilisha