Riziki Magembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2014
- 886
- 206
Wanajamvi,
Mnapenda kutaarifiwa kuwa asasi(azaki) za kirai zinawapa taarifa watanzania wote kuwa siku ya Jumamosi kutakuwa na kongamano huru la katiba.
Mabingwa wa sheria Tanzania unao wajua watakuwepo siku hiyo kufafanua mchako mzima wa katiba.
Muda kuanzia 8 mchana, karibu wote.
Mnapenda kutaarifiwa kuwa asasi(azaki) za kirai zinawapa taarifa watanzania wote kuwa siku ya Jumamosi kutakuwa na kongamano huru la katiba.
Mabingwa wa sheria Tanzania unao wajua watakuwepo siku hiyo kufafanua mchako mzima wa katiba.
Muda kuanzia 8 mchana, karibu wote.