imma.one
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 542
- 37
Tangazo hili liko maeneo ya sinza kama unakwenda mwenge karibu na chuo cha ustawi.
Eti dada anamwambia mbaba ambae ni kijana kuwa mimi ni sawa na mwanao wakati dada huyo amemuonesha jamaa natiti yake yote nje huku hivi toto kama hili ni sawa kutongozwa na yoyote coz hajiheshm anatangaza biashara.
Kiukweli linaniboa sana sijui waloliweka wanauwezo gani wa kufikiri bora hata wangeweka lile la fataki.wahusika acheni utapeli na kupotosha
Eti dada anamwambia mbaba ambae ni kijana kuwa mimi ni sawa na mwanao wakati dada huyo amemuonesha jamaa natiti yake yote nje huku hivi toto kama hili ni sawa kutongozwa na yoyote coz hajiheshm anatangaza biashara.
Kiukweli linaniboa sana sijui waloliweka wanauwezo gani wa kufikiri bora hata wangeweka lile la fataki.wahusika acheni utapeli na kupotosha