Heshima kwenu wakuu?,unakutana na tangazo la nafasi za kazi kwa lugha yetu ya kiswahili. Je hyo barua na CV zinatakiwa ziwe kwa lugha ipi?,kiingereza au kiswahili?
ok asante sana kwa maelezo yako,.mi sio mchoyo ila natumia cm thats y nashindwa kuweka hapa tangazo ila mwenye access ya gazeti la MWANANCHI tarh 18/10 ukurasa wa 14 anaweza pata tangazo hilo. Asante tena.
Hapo umefanya vizuri, Mungu Akujaalie uitwe kwenye Interview na upata hiyo kazi.[/QUASANTE MKUU LIKWANDA NA IWE KAMA UNENAVYO
andika kwa lugha uionayo rahisi kwako. CV weka kw akingereza ila motivation letter itapendeza zaidi kwa kiswahili.[/QUASANTE RUSSIAN JAPOKUWA MAELEZO YAKO YANATOFAUTIANA NA LIKWANDA PALE JUU CJUI WHICH IS WHICH