Tangazo hili la kazi liko kinyume na haki

Jimmy George

JF-Expert Member
Nov 28, 2016
1,733
1,645
Za asubuhi JF members
Ki ukweli mi sijapenda watu wamesubiri karibu mwaka mmoja na miezi 7 wakiamini wataajiriwa leo hii wanakuja kusema tunataka watu wa sayansi na hisabati hao wa arts waende wapi?

Kingine tangazo limetolewa mtandaoni pasipo kutolewa taarifa ya kueleweka kwenye vyombo vya habari zaidi ya kutoa tangazo na bado wanataka watu watume ndani ya siku tatu (tarehe 13 december hadi 16 december)
Maswali ya kujiuliza
1. Ambao hawajachukua cheti kwa kutolipia ada (vyuo binafsi) wapate wapi hela ya haraka ili wapewe vyeti wavitume?
2. Walio vijijini ambapo hamna internet mpaka waende mjini na nauli hawana ina maana wanakosa nafasi ?
 
Nahis wanafkr watu wote wanaish mjn na wanatumia mitandao, kuna sehem zingne CMU inakosa hata chaji siku 3 nzima! Mfumo mbovu utoaji taarfa, hii ni njia yakuwapunguza wahitaji wa Ajira!

Siku zote awamu ya 5 sijaona utendaji wa haki, HVO tutafka tuendako japo maumivu makali!
 
So miezi yote hii unalalamika ajira kumbe vyeti vpo chuo ....basi tutasubri mpka ukachuke vyeti ndo tutangaze tena kazi nyingne
 
Kweli hapo kunawatakao shindwa kutuma while wanavyeti,serikali waliangalie hilo.
 
Si ajabu maana mpaka leo kuna wanaouliza kama ni kweli kuna tangazo la ajira limetoka.
Sitoshangaa kusikia kuna ambao hawana taarifa kabisa.
 
Back
Top Bottom