Tangaza na JF, Mahali Jamii inapokutana

Status
Not open for further replies.
nauza kiwanja kipo changanyikeni km tatu kutoka UDSM ..Mawasiliano 0755 416980 au 0688354089
 
Nawakaribisha vijana wote wanaopenda kutimiza ndoto zao kupitia ujasiriamali kupitia part time bussiness ambapo unauwezo wa kutengeneza kuanzia mill3 na zaid ndan ya miezi3 tu. For more details tuwasiliane kwa no 0762404670(watssup)
Haya mambo huwa yananikera sana
 
Habari wadau, nauza nazi nzuri na kavu kwa jumla kutoka mkoano Tanga. Toa oda nikuletee napatikana hapa Dsm tuwasiliane 0655069989.
 
Tangazo.Naomba msaada wakuu. Kuna mtu Metz Yuki UK , aliniuzia Gari hatimaye akamuuzia mwingine Gari hiyohiyo nikabaki na karatasi. Yeye salsa Yuko London. Wakuu naomba Ushauri we nu nitawezaje kupata pesa yangu kama liye nitapeli yuko ughaibuni.anajamaa zake Mbeya na DAR. Aliniuzia Gari kwa 10 million.
 
Mods naomba ombi language kutapeliwa mliweke sehemu husika .Mimi bado no mgeni JF nafaidika na michango ya wadau humu. Naamini nitasaidika kurudisha fedha yangu na sitaacha kuwakumbuka walionisaidia zahama hii.
 
Ninauza mziki(PA) pamoja na Projector na Generator.Vyote vipo katika hali nzuri,nilikuwa nafanya biashara ya kukodisha mziki na kukodisha projector ila kwa sasa nimeamua kubadilisha biashara.Unaweza kununua kimoja kimoja sio lazima ununue vyote.Kwa anaehitaji tuwasiliane kwa private Message.

Being zako na specs za vifaa vyako in PM pliz
 
Tangazo.Naomba msaada wakuu. Kuna mtu Metz Yuki UK , aliniuzia Gari hatimaye akamuuzia mwingine Gari hiyohiyo nikabaki na karatasi. Yeye salsa Yuko London. Wakuu naomba Ushauri we nu nitawezaje kupata pesa yangu kama liye nitapeli yuko ughaibuni.anajamaa zake Mbeya na DAR. Aliniuzia Gari kwa 10 million.
nenda ubalozi wa uingereza taja majina yote ya huyo mtu watakusaidia kumtafuta
Uwe na ushahidi kama ulitapeliwa kweli
 
TUITION KWA MASOMO YA, HISTORY, KISWAHILI, ENGLISH, CIVICS, GEOGRAPHY na BIOLOGY

Kwa wanafunzi KIDATO CHA I-VI
-WANAORUDIA MITIHANI
-WALIOKO SHULENI na
-QT
Tupo
Kinondoni mkabala na mahakama
KWA MAELEZO ZAIDI
PIGA AU TUMA UJUMBE WhatsApp
0754 895 321
 
Kwa wale wapenzi wa keki ndogo kwa ajili ya maduka na groceries pia keki kubwa kwa ajili ya birthdays, anniversary, weeding and other specail occasion. Napatikana sinza, contact 0713196055
 
Learn at your place- history,kiswahili,english,geog raphy&biology
Today
Learning at Your Place Are you studying secondary education? Learn what you want, when you want, from where
you are. Check the Subjects and get started.
call or WhatsApp text
0754 895 321
 
Biashara ya asali ya nyuki wa kubwa na wadogo.tunauza asali kuanzia lita moja unaweza kutoa oder ya lita unazo taka
Lita moja ya nyuki wa kubwa 125,00
Lita moha ya nyuki wadogo 150,00
Karibun sana
Piga simu,au sms ya kawaida na wassap
0656 43 66 62
Karibun sana
 
Hodi hodi jukwaani kwa Waungwana wana JF,

Nitumaini kwa ukarimu wenu nyote mmesema karibu mgeni.

Nami naingia na kuanza kutoa shukrani za dhati kwa Uongozi wa Jamii Media Inc kwanza kuniruhusu kuwa mwanachama na pili kutumia abbreviation "JF" kwenye jina langu na tatu kunipa kibali cha kupokea na kuweka matangazo ya kibiashara hapa jukwaaani.

Wito kwa wanachama na wasio wanachama:

Tumeanza kupokea matangazo ya kibiashara. Lengo ni kulifanya jukwaa letu liwe na vyanzo vya mapato vitakavyoliwezesha kujiendesha kwa ustahimilivu kinyume na sasa ambapo linategema pesa toka mfukoni mwa watu wachache.

Hakuna ubishi tena juu ya uwezo wa tofuti, majukwaa na blogs katika kuwasilisha ujumbe kwa jamii. Mtakumbuka katika mwaka 2008 zaidi ya asilimia 70 ya habari motomoto zilizotikisa nchi yetu zilianzia hapa.

Na kwa upanda wa matangazo ya kibiashara japo haikuwa lengo kwa mwaka 2008, waliotangaza nasi wameona mafanikio. Traffic imeongezeka mara dufu katika site zao.
Niaje nipo arusha na pia nataka kutangaza biashara yangu nipen mwellekeo na contct za ni inokishingo@gmail.com
 
Status
Not open for further replies.
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom