Tanganyika yetuuu

Hassan J. Mosoka

JF-Expert Member
Oct 26, 2010
682
323
Miaka imekwenda na miezi haigandi tangu Mchungaji Christopher Mtikila alipoleta hoja ya kuwa na Serikali ya Tanganyika. Bungeni ikajadiliwa na kuzaliwa kundi ya G50. Kundi hili lilisakamwa na wakubwa wa ccm na kisha likasambaratishwa kabisa.
Ukweli huu wa serikali ya Tanganyika hauwezi kufa hata kidogo. nadhani moja ya majukumu ya bunge la sasa bila kujali vyama vyao ni muhimu kufungua macho na kuona jinsi ambavyo wtu wa bara hatunufaiki na Muungano na badala yake tunabeba mizigo ya Zanzibar kila kukicha, wingi wa wabunge wao, ukubwa wa serikali yao, ni matatizo yasiyovumilika. Ni nani hasa anajadili matatizo ya watanganyika? ikiwa matatizo ya Zanzibar yanajadiliwa kwenye baraza la wawakilishi? leo wana bendera, rais makamu wawili, na sasa wanatafuta uanachama wa fifa, vya Tanganyika viko wapi?
the time has come ni lazima turudi mezani tuutazame muungano upyaaaaa
 
Miaka imekwenda na miezi haigandi tangu Mchungaji Christopher Mtikila alipoleta hoja ya kuwa na Serikali ya Tanganyika. Bungeni ikajadiliwa na kuzaliwa kundi ya G50. Kundi hili lilisakamwa na wakubwa wa ccm na kisha likasambaratishwa kabisa.
Ukweli huu wa serikali ya Tanganyika hauwezi kufa hata kidogo. nadhani moja ya majukumu ya bunge la sasa bila kujali vyama vyao ni muhimu kufungua macho na kuona jinsi ambavyo wtu wa bara hatunufaiki na Muungano na badala yake tunabeba mizigo ya Zanzibar kila kukicha, wingi wa wabunge wao, ukubwa wa serikali yao, ni matatizo yasiyovumilika. Ni nani hasa anajadili matatizo ya watanganyika? ikiwa matatizo ya Zanzibar yanajadiliwa kwenye baraza la wawakilishi? leo wana bendera, rais makamu wawili, na sasa wanatafuta uanachama wa fifa, vya Tanganyika viko wapi?
the time has come ni lazima turudi mezani tuutazame muungano upyaaaaa
Masahihisho!Serikali yaZanzibar haitegemeiTanganyika na badalayake ni kuwa Tanganyika ndio inayofaidi huo Muungano na ndio sababu wakubwa wako hawataki kuileta. Ikija Tanganyika mtashindwa kufanya chochote bila kukaa chini na Serikali ya Muungano kupata baraka zake. Jee iwapo wabunge wa Tanzania watakuwa sawa kati ya tanganyika na Zanzibar kwenyeserikali ya Muungano mtakuwa na uwezo mlionao sasa?
 
Masahihisho!Serikali yaZanzibar haitegemeiTanganyika na badalayake ni kuwa Tanganyika ndio inayofaidi huo Muungano na ndio sababu wakubwa wako hawataki kuileta. Ikija Tanganyika mtashindwa kufanya chochote bila kukaa chini na Serikali ya Muungano kupata baraka zake. Jee iwapo wabunge wa Tanzania watakuwa sawa kati ya tanganyika na Zanzibar kwenyeserikali ya Muungano mtakuwa na uwezo mlionao sasa?

Tanganyika yetuu....
Tanganyika yetuu ndo yeyee... Barani kusifika ndio yeyee!!
Hilo ndo jambo la Msingi.... Tumeshakuwa na ukweli wa nani anamnyonya mwenziwe utaanza kuwa uchi na hasa ktk kipindi hiki ambacho nchi jirani (ZANZIBAR & PEMBA) Zimeunda Serikali moja ya Umoja wa Kitaifa la Visiwani.. United Repubic of Isles.
 
Back
Top Bottom