Hassan J. Mosoka
JF-Expert Member
- Oct 26, 2010
- 682
- 322
Miaka imekwenda na miezi haigandi tangu Mchungaji Christopher Mtikila alipoleta hoja ya kuwa na Serikali ya Tanganyika. Bungeni ikajadiliwa na kuzaliwa kundi ya G50. Kundi hili lilisakamwa na wakubwa wa ccm na kisha likasambaratishwa kabisa.
Ukweli huu wa serikali ya Tanganyika hauwezi kufa hata kidogo. nadhani moja ya majukumu ya bunge la sasa bila kujali vyama vyao ni muhimu kufungua macho na kuona jinsi ambavyo wtu wa bara hatunufaiki na Muungano na badala yake tunabeba mizigo ya Zanzibar kila kukicha, wingi wa wabunge wao, ukubwa wa serikali yao, ni matatizo yasiyovumilika. Ni nani hasa anajadili matatizo ya watanganyika? ikiwa matatizo ya Zanzibar yanajadiliwa kwenye baraza la wawakilishi? leo wana bendera, rais makamu wawili, na sasa wanatafuta uanachama wa fifa, vya Tanganyika viko wapi?
the time has come ni lazima turudi mezani tuutazame muungano upyaaaaa
Ukweli huu wa serikali ya Tanganyika hauwezi kufa hata kidogo. nadhani moja ya majukumu ya bunge la sasa bila kujali vyama vyao ni muhimu kufungua macho na kuona jinsi ambavyo wtu wa bara hatunufaiki na Muungano na badala yake tunabeba mizigo ya Zanzibar kila kukicha, wingi wa wabunge wao, ukubwa wa serikali yao, ni matatizo yasiyovumilika. Ni nani hasa anajadili matatizo ya watanganyika? ikiwa matatizo ya Zanzibar yanajadiliwa kwenye baraza la wawakilishi? leo wana bendera, rais makamu wawili, na sasa wanatafuta uanachama wa fifa, vya Tanganyika viko wapi?
the time has come ni lazima turudi mezani tuutazame muungano upyaaaaa