Hivi kwenye hii katiba mpya swala la muungano linaingiaje, mi ningependa moja ya vitu viwili:
1. either kuwe na serikali tatu: tanganyika, zanzibar, na tanzania (ambazo zitatufanya tuwe maskini zaidi, maana idadi ya wala kodi zetu itaongezeka, but atleast it will make more sense kuliko ilivyo sasa)
2. au serikali ya zanzibar ipotezewe na kuwe na tanzania tu, rais mmoja, bunge moja, na kila kitu kimoja.
Mi nisingependa tutengane kabisa.....umoja ni nguvu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.