Tanganyika wasafiri kivyao na Zanzibar kivyao,

abdulahsaf

JF-Expert Member
Aug 31, 2010
858
130
Serekali ya Mapinduzi ya Zanzibar ya tuma wajumbe wake nje .
 

Attachments

  • maalim%203.jpg
    maalim%203.jpg
    3.6 KB · Views: 64
Hivi kwenye hii katiba mpya swala la muungano linaingiaje, mi ningependa moja ya vitu viwili:

1. either kuwe na serikali tatu: tanganyika, zanzibar, na tanzania (ambazo zitatufanya tuwe maskini zaidi, maana idadi ya wala kodi zetu itaongezeka, but atleast it will make more sense kuliko ilivyo sasa)

2. au serikali ya zanzibar ipotezewe na kuwe na tanzania tu, rais mmoja, bunge moja, na kila kitu kimoja.

Mi nisingependa tutengane kabisa.....umoja ni nguvu.
 
Back
Top Bottom