Unaweza kutusaidia bei yake na dalali alichukua ngapi?Maana dalali huyu alizungusha ukuta ambao sasa unaanguka!Nakumbuka Mama yetu Rwakatare nae alikuwamo pia.
Adamjee alitaka kuwatapeli hawa waarabu kwa kukikata kile kiwanja ili achukue ile sehemu ya juu aliozungushia ukuta na kuwabakizia hawa waarabu sehemu ya kwenda baharini na ndio maana alizungushia ukuta. Waarabu hawa wana lawyer wao anaeangalia maslahi yao na wamekwisha tengeneza michoro ya nini wanataka kulifanyia hili eneo. Kama nilivyosema awali habari zote za hili eneo ziko Consolidated Holding Corporation. Halima Mdee mbunge wa Chadema alipeleka swali bungeni juu ya matumizi ya eneo hili sijui alijibiwa nini!!