Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,273
- 17,096
Kuna mdau yoyote mwenye taarifa na eneo hili pale kawe(263 acres) na nini mustakabali wake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwanza Tanganyika Peckers imebaki kuwa historia, Kiwanda kimeoza na kinaendelea kubomomoka.Kuna mdau yoyote mwenye taarifa na eneo hili pale kawe(263 acres) na nini mustakabali wake?
katika ulimwengu ambao serikali inajidai kuhubiri kilimo kwanza haikuingiiakilini kuona Kiwanda cha nyama kinageuzwa matumizi......haileti maana, mfugaji kama sehemu ya mkulima, anapaswa kuwa na pahala ambapo ngombe wake watauzwa kwa thamani inayokidhi.Kwa nini serikali isipageuze for public usage wajenge Mahospitali,mahakama,ofisi za serikali,kariakoo nyingine ili kupunguza msongamano kule CBD? Eka 263 ni nyingi sana
Kwa nini serikali isipageuze for public usage wajenge Mahospitali,mahakama,ofisi za serikali,kariakoo nyingine ili kupunguza msongamano kule CBD? Eka 263 ni nyingi sana
katika ulimwengu ambao serikali inajidai kuhubiri kilimo kwanza haikuingiiakilini kuona Kiwanda cha nyama kinageuzwa matumizi......haileti maana, mfugaji kama sehemu ya mkulima, anapaswa kuwa na pahala ambapo ngombe wake watauzwa kwa thamani inayokidhi.
kweli kunakitu hakiendi sawa vichwani mwa watawala wetu....................Nani aliewaroga ?
hapana bado tunahitaji kile kiwanda kifanye kazi yake iliokusudiwa, na tunahitaji viwanda zaidi vya uzalishaji kuliko, maduka na masuper Market, hatuhitaji kuwa taifa la wachuuzi wa bidhaa za kichina, USA, SA ama popote duniani, hakuna taifa lililoendelea kwa uchuuzi.E bwana tena nilipita hapo juzi juzi, hilo eneo tamu kweli. Mafisadi watakuwa wameliacha salama mpaka sasa kweli! Yeah, ni vizuri matumizi yenye manufaa kwa jamii yote ndio yapewe kipaumbele.
kama tunaadhimia kuua kiwanda kile kimatumizi lazima tujenge viwanda kama vile maeneo mengine.Kwa sasa sidhani kama ni feasible kuendelea na kiwanda cha nyama pale kwa kuwa sasa pamezungukwa na makazi ya watu na ng'ombe watapita wapi?Hata asili ya jina Kawe ni Cow Way vile ng'ombe walipitia toka pugu mapaka kiwandani.Tujenge kingine maybe Ruvu au Chalinze au hata Umasaini,Usukumani amabako ng'ombe wako ili iwe rahisi kwa miundombinu ya kuwaleta ng'ombe kiwandani.
kama tunaadhimia kuua kiwanda kile kimatumizi lazima tujenge viwanda kama vile maeneo mengine.
ila Kiwanda kinaweza kubaki pale, maana si lazima machinjio yawe pale, hii ni katika dhana ya kufungua viwanda na ajira kwa vijana wetu.
Sehemu kubwa ya beach area sidhani kama bado ipo lazima itakuwa imefanyiwa hesabu za kifisadi na wajanja wajichukulia mapema. hawachelewi hao.
Sehemu kubwa ya beach area sidhani kama bado ipo lazima itakuwa imefanyiwa hesabu za kifisadi na wajanja wajichukulia mapema. hawachelewi hao.
kwanza NI AIBU KILE KIWANDA KUFIKIA KUWA MAGOFU YA KIWANGOM KILE............Nakubaliana nawe na hiyo Plan A sasa kama ahiwezekani kuwa kiwanda pale serikali ina mpango gani wa kubadili amtumizi kama Plan B sasa?
katika mazingira hayo unanambia kuna mtu yuko serious na KILIMO kweli, hawa wameoza na chama chao, ni gonjwa lisilo na tiba.................Labda mpaka wakulima wenyewe watakapo amua kuingia mitaani na kudai haki zao, lakini adui yao nikototambua kuwa wao ni mtaji kisiasa, na kwa unyonge wao watanyanyasika milele.Na ile ranchi yao ya Singida imeuzwa majuzi.Hapo ndio palikuwa buying point.
Kwa sasa sidhani kama ni feasible kuendelea na kiwanda cha nyama pale kwa kuwa sasa pamezungukwa na makazi ya watu na ng'ombe watapita wapi?Hata asili ya jina Kawe ni Cow Way vile ng'ombe walipitia toka pugu mapaka kiwandani.Tujenge kingine maybe Ruvu au Chalinze au hata Umasaini,Usukumani amabako ng'ombe wako ili iwe rahisi kwa miundombinu ya kuwaleta ng'ombe kiwandani.
Kujenga kingine sawa, swali ni matumizi mbadala wa sehemu hiyo nini kifanyike? Hesabu za kifisadi kugawa viwanja kwa wateule wachache ziendelee au ijengwe CBD kwa manufaa ya wengi ambayo itaondoa ulazima wa kila mtu kuja kwenye CBD ya samora avenue?
Na central issue ni jee kama kuna plots zimechukuliwa ziendelee kuchukuliwa au zirudishwe serikalini ili kurejesha ukubwa halisi wa shamba hilo?