the horticulturist
JF-Expert Member
- Aug 24, 2012
- 1,959
- 1,894
- Thread starter
- #21
Ahsante sana sana sana umenipa jambo zuri sana sana nitafanya hivyoKuepuka gharama nenda kaombe leseni ya Zanzibar kwa kutumia hio leseni yako ya bara kuondoka na usumbufu wa kukata permit kila baada ya miezi mitatu. Mm nilifanya hivyo na nina leseni zote mbili. ( Hakuna msaada wa kisheria sababu huo ndio Muungano tuliinao kwa sasa)