Sina shaka baada ya 2015,whether CCM au CHADEMA,tunawahitaji Wayahudi kulinusuru taifa hili la Mungu .
1.Tunahitaji intelligence yao kupambana na wabaya wa nchi hii,real magaidi.
2.Utaalamu wa irrigation,tuna maji tele lakini bado njaa kibao kwa wananchi wengi
3.Hata katika huduma za afya ku train madaktari wetu.
1.Tunahitaji intelligence yao kupambana na wabaya wa nchi hii,real magaidi.
2.Utaalamu wa irrigation,tuna maji tele lakini bado njaa kibao kwa wananchi wengi
3.Hata katika huduma za afya ku train madaktari wetu.