Patrick Elias
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 332
- 108
Kuna kasumba imeibuka hasa huku Tanganyika (nchi hewa) ya kuongeaongea hovyo eti Zanzabar ktk miaka 20 haijachangia gharama za muungano tena pasipo kusema Tanganyika imechangia kiasi gani.
Ajabu kabisa hata mbunge wa CCM chama ambacho kinaamini hakuna Tanganyika anasema hivyo pia. Suala ni kwamba kama Zanzibar haichangi na Tanganyika haipo je nani anagharamia muungano?
Jibu ni serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania, kama ndivyo kwanini sasa watanganyika inainyooshea kidole Zanzibar wakati hata Tanganyika haigharamii muungano?
Ajabu kabisa hata mbunge wa CCM chama ambacho kinaamini hakuna Tanganyika anasema hivyo pia. Suala ni kwamba kama Zanzibar haichangi na Tanganyika haipo je nani anagharamia muungano?
Jibu ni serikali ya Jamhuri ya muungano wa Tanzania, kama ndivyo kwanini sasa watanganyika inainyooshea kidole Zanzibar wakati hata Tanganyika haigharamii muungano?