amu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 16,103
- 30,990
mohamed Mtoi ahsante sana hii kumbukumbu haitasahaulika miaka dahali umenizikia dada yangu.
YNNAH your special my dia from lushoto to mabawa hii sitaisahau.
arabella thanx mamii Mungu akutangulie katika mambo yako japo ulibanwa ila ukatafuta dakika 2 kuja kutuona.
Mwanyasi ahsante sana ubarikiwe jamani.
Wanacc/jf mwenzenu nlikuwa nauguliwa na my dada yeye alikuwa ameolewa tanga na kuishi huko.
Jumatatu iliyopita alizidiwa jumanne nikaenda Tanga cku hiyo jumanne.Juma5 akapumzishwa ngamiani alhamic akalazwa bombo hospital.
Hali ikazidi kuwa tete ijumaa asubuhi asubuhi wakamumewekea oxygen,mamipira kibao.
Kufikia hapo tulichoka kimwili kiakili ukizingatia tulienda wawili tu kumuuguza na plan ilikuwa akipata nguvu kidogo turudi dar familia ilipo augulie dar.
Mpaka ijumaa jioni ndugu karibia wote walifika tanga.
Jumamoc mida ya saa 1 asubuhi alifariki.
Tukamzika jumamoc hiyohiyo saa kumi.
Ahsante wote nlio nipigia cm kunipa pole.
Kweli nimeamini cc ni ndugu for me ckutegemea.
YNNAH your special my dia from lushoto to mabawa hii sitaisahau.
arabella thanx mamii Mungu akutangulie katika mambo yako japo ulibanwa ila ukatafuta dakika 2 kuja kutuona.
Mwanyasi ahsante sana ubarikiwe jamani.
Wanacc/jf mwenzenu nlikuwa nauguliwa na my dada yeye alikuwa ameolewa tanga na kuishi huko.
Jumatatu iliyopita alizidiwa jumanne nikaenda Tanga cku hiyo jumanne.Juma5 akapumzishwa ngamiani alhamic akalazwa bombo hospital.
Hali ikazidi kuwa tete ijumaa asubuhi asubuhi wakamumewekea oxygen,mamipira kibao.
Kufikia hapo tulichoka kimwili kiakili ukizingatia tulienda wawili tu kumuuguza na plan ilikuwa akipata nguvu kidogo turudi dar familia ilipo augulie dar.
Mpaka ijumaa jioni ndugu karibia wote walifika tanga.
Jumamoc mida ya saa 1 asubuhi alifariki.
Tukamzika jumamoc hiyohiyo saa kumi.
Ahsante wote nlio nipigia cm kunipa pole.
Kweli nimeamini cc ni ndugu for me ckutegemea.
Last edited by a moderator: