Tanga: Waziri Mkuu mstaafu Fredrick Sumaye augua gafla mkoani Tanga apata matibabu na hali yake inaendelea vizuri

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
Taarifa kuhusu hali ya Mzee Frederick Sumaye

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama na Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye alikuwa mkoani Tanga, akiendelea na ratiba ya ziara ya shughuli za chama mkoani humo kabla ya ya kupatwa na shida ya afya ghafla leo asubuhi.

Baada ya kutibiwa Hospitali ya Mkoa wa Tanga hali yake inaendelea vizuri, na sasa amepumzika wakati mipango ya kumsafirisha kwenda Hospitali ya Taifa Muhimbili leo hii, kwa ajili ya uchunguzi zaidi ikifanyika.

Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Mawasiliano na Habari
Chadema
 
Namshauri mzee wetu sumaye na wengine wenye umri zaid yake wapumzike siasa. Siasa zinahitaji afya njema na nguvu mwilini.
 
Taarifa kuhusu hali ya Mzee Frederick Sumaye

Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama na Waziri Mkuu Mstaafu, Frederick Sumaye alikuwa mkoani Tanga, akiendelea na ratiba ya ziara ya shughuli za chama mkoani humo kabla ya ya kupatwa na shida ya afya ghafla leo asubuhi.

Baada ya kutibiwa Hospitali ya Mkoa wa Tanga hali yake inaendelea vizuri, na sasa amepumzika wakati mipango ya kumsafirisha kwenda Hospitali ya Taifa Muhimbili leo hii, kwa ajili ya uchunguzi zaidi ikifanyika.

Tumaini Makene
Mkuu wa Idara ya Mawasiliano na Habari
Chadema
Pole sana Mkuu Mungu akupe uponywaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Namshauri mzee wetu sumaye na wengine wenye umri zaid yake wapumzike siasa. Siasa zinahitaji afya njema na nguvu mwilini.
Raisi wa Nigeria ana umri gani? Uliza Boko haram walichokipata. Uzee siyo umri,bali ni mawazo! Unaweza kuwa na umri kidogo lakini ukafikiri na kutenda kizeee.
 
Back
Top Bottom